Kufuatia ushindi mkubwa wa Chadema urambo mjini, kikiwemo kitongoji anachotoka waziri wa ushirikiano wa Afrika mashariki Mh:samwel sitta, imeripotiwa kuwa CCM wamechanganyikiwa kiasi cha kupeleka pingamizi dhidi ya washindi wetu wote mahakamani. Moja ya vioja katika pingamizi hizo nikuwa, uchaguzi ulifanyika kwenye chumba kidogo sana, maajabu.