Mwanzo nilikua mkosoaji mkubwa sana wa Chama cha mapinduzi, uozo ambao umekua unafanywa hauvumiliki kwa mtu mwenye akili timamu... Ila kwa mwenendo ule mke wangu akaniomba niache nitapotezwa maana hamna demokrasia Tanzania tunadanganyana tu...
Sasa hivi nimekua msomaji na msikilizaji ila inatia hasira saaaaaaana mpaka nahisi damu kuchemka ila ndo sitaki nimwache binti yangu mdogo akiwa hana baba