Ushawi kubaka au kubakwa ?

Mm mwaka 2016 .7.27 nilibakwa na mdadaa Kwa kuniwekea dawa Kwenye juice na alibeba mimba na mtt ss ana miaka 9,,,

Mpk Leo nikiwaambiaa watu nilibakwa wanaishia kunicheka na kusema mwanaume awezi bakwa..
Basi ulikuwa ni mbako wenye faida kwako mkuu,mlee vyema huyo mwanao hata kama atakuwa kwa baba wa kambo nenda kamchukue ni damu yako hiyo,aweza kukufaa ata kabla ujazeeka, maana uenda ulimpata we ukiwa bado kijana saaana.🤣🤣
 
Mm mwaka 2016 .7.27 nilibakwa na mdadaa Kwa kuniwekea dawa Kwenye juice na alibeba mimba na mtt ss ana miaka 9,,,

Mpk Leo nikiwaambiaa watu nilibakwa wanaishia kunicheka na kusema mwanaume awezi bakwa..
Miaka 7/8 sio 9
 
Dada wa kazi alinibaka ( dada wa kazi alinifuma na kidemu changu cha utotoni tunafanya matusi, akanitishia ata3nda kusema kwa mama la nimfanye kama nilivyokua namfanya queen mchana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…