ushauri

ushauri

jimwage

Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
22
Reaction score
5
mwenzenu ninagarden(nywele) mpaka zinaungana na nywele za chini ....dah napatashida sana nikiyanyoa naona kama yatazidi ivi kibaya zaidi huyu demu niliye naye hapendi kabisa hili garden nipo njia panda sijui nifanyaje jaman
 
Dah! haloo.. sasa wewe ulitaka sis tuje tukunyoe ama?? kama mpenzi wako hataki na wew unampenda nyoa.. penginge sio garden love ni pori kabisa si tutajuaje??
 
Mmmh..... Umenikumbusha mbaaali..!
 
pole ila kuna wanawakw wengine wanazipenda.......kuwa na msimamo mwambie hvyo ndivyo ulivyo kama hawezi basi atafute ambaye hana.....
au kama unaweza zipunguze mara kwa mara na mkasi
 
pole ila kuna wanawakw wengine wanazipenda.......kuwa na msimamo mwambie hvyo ndivyo ulivyo kama hawezi basi atafute ambaye hana.....
au kama unaweza zipunguze mara kwa mara na mkasi
tanx kwa ushaur mzuri unaojenga ndaufanyia kazi
 
Dah! haloo.. sasa wewe
ulitaka sis tuje tukunyoe ama?? kama mpenzi wako hataki na wew unampenda
nyoa.. penginge sio garden love ni pori kabisa si tutajuaje??

Aweke picha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom