abaa4all
JF-Expert Member
- Mar 5, 2013
- 326
- 335
Habar wanajamvi.
Kuna Rafiki yangu kaniomba ushauri na mimi sina chakumwambia nikaona nishare na nyinyi.
Rafik yangu anamchumba wake na wanamiaka zaid ya mitano katk uchumba lakin miezi mitatu iliyopita aliamua kutoa posa ili aoe moja kwa moja.
Tatzo limetokea kuna ndugu wa mbali wa yule binti anataka amuoe na alishatangaza ukoo mzima kuwa atamuoa but familia na bint wote hawatk hlo jmbo na hawamtaki yule ndugu wao kiukoo.
Yule ndugu alimwambia demu kama hunitaki bas si mimi wala huyo mtu wako atakaekuoa bora akuoe mtu mwingine wa mbali.
Baada ya hapo maelewano tena baina rafk yangu hakuna bint kila time anafoka hajbu msg wala chchte kile na kesi mpka wazazi wa binti wanaijua.
Na kila binti akiulizwa anasema ametokea tu hampend rafik yangu bila ya sababu.
Inaonekana kma kuna nguvu za giza zimepita.
Wadau ushauri wenu muhimu
Kuna Rafiki yangu kaniomba ushauri na mimi sina chakumwambia nikaona nishare na nyinyi.
Rafik yangu anamchumba wake na wanamiaka zaid ya mitano katk uchumba lakin miezi mitatu iliyopita aliamua kutoa posa ili aoe moja kwa moja.
Tatzo limetokea kuna ndugu wa mbali wa yule binti anataka amuoe na alishatangaza ukoo mzima kuwa atamuoa but familia na bint wote hawatk hlo jmbo na hawamtaki yule ndugu wao kiukoo.
Yule ndugu alimwambia demu kama hunitaki bas si mimi wala huyo mtu wako atakaekuoa bora akuoe mtu mwingine wa mbali.
Baada ya hapo maelewano tena baina rafk yangu hakuna bint kila time anafoka hajbu msg wala chchte kile na kesi mpka wazazi wa binti wanaijua.
Na kila binti akiulizwa anasema ametokea tu hampend rafik yangu bila ya sababu.
Inaonekana kma kuna nguvu za giza zimepita.
Wadau ushauri wenu muhimu