Ushauri wangu wa leo

Ushauri wangu wa leo

Usihukumu wakati hujafanya uchunguzi,

Hujafanya utafiti huna haki ya kusema.

Huna takwimu huwezi kujenga hoja.

Muwr na pasaka njema tuombee amani ya nchi yetu.
Hukusema ujumbe huu umwendee nani!
Kina Lazaro mbona wanahukumu na kujenga hoja bila kuwa na data na bado wanaita ramli walizotumia kutoa hukumu kwamba ni za kisayansi?
 
Back
Top Bottom