ulaya12
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 834
- 898
Naanza kwa kuwapa pongezi nyingi sana hawa madokta wa kiume wanaowazalisha wajawazito yaani hawa ni majasiri kupita hata wanajeshi, tena ujasiri uliotukuka angalia anakabidhiwa mjamzito amzalishe anaanza kumuingiza mikono kwenye K na kama mnavyojua madada wengine jinsi walivyonona kwa kweli Mungu awajaalie hawa watu kwa mimi kazi hii siiwezi lazima nitaingia majaribuni,
Halafu hata wakishamzalisha na mama kachanga ameruhusiwa huwa ninajiuliza mama mtoto anapokutana na yule Dr aliyemzalisha huwa anajisikiaje maana K yake ameichezea hadi basi, kwa ushauri wangu ningependa Madokta wa kiume wasiwe wanazalisha maana ukiachilia mbali huduma kitendo hicho ni udhalilishaji kwa wanawake.
Halafu hata wakishamzalisha na mama kachanga ameruhusiwa huwa ninajiuliza mama mtoto anapokutana na yule Dr aliyemzalisha huwa anajisikiaje maana K yake ameichezea hadi basi, kwa ushauri wangu ningependa Madokta wa kiume wasiwe wanazalisha maana ukiachilia mbali huduma kitendo hicho ni udhalilishaji kwa wanawake.