Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,560
Napenda kuwashauri vijana wote wa kiume kwamba,
mnapochagua mpenzi yeyote kulingana na umbo naombeni mzingatie yafuatayo:
1. Msifuate kiki za mtaani,
2. Fanya maamuzi kutokana na roho inapenda sio washkaji wanapenda nini kwa ajili yako.
Kuna mwenzenu mmoja alitaka msichana mwenye chura ahangaike nae, alitaka zigo la kuvunja chaga aonekane kidume.
Mwisho wa siku kwenye shoo time msichana kakaa juu kijana anahema kama nyoka mkata roho, mwili wa msichana unamwumiza hasikii raha wala nini, unaniua unaniua kwani ulilazimishwa kuchukua nyambizi?
Acheni kutupigia kelele majirani tumelala jamani, oh!
mnapochagua mpenzi yeyote kulingana na umbo naombeni mzingatie yafuatayo:
1. Msifuate kiki za mtaani,
2. Fanya maamuzi kutokana na roho inapenda sio washkaji wanapenda nini kwa ajili yako.
Kuna mwenzenu mmoja alitaka msichana mwenye chura ahangaike nae, alitaka zigo la kuvunja chaga aonekane kidume.
Mwisho wa siku kwenye shoo time msichana kakaa juu kijana anahema kama nyoka mkata roho, mwili wa msichana unamwumiza hasikii raha wala nini, unaniua unaniua kwani ulilazimishwa kuchukua nyambizi?
Acheni kutupigia kelele majirani tumelala jamani, oh!