Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,522
- 14,190
Salaam ndugu zangu.
Nina ndugu yangu alimaliza O-level mwaka Jana ila kwa bahati mbaya ha kufanya vizuri kuweza kuendelea advance.
Mimi sikuwepo ila nmerud nimeambiwa alikuwa anafanya mipango aende jeshi ikashindikana. Sasa inabid atafutiwe fani ya kusomea hata mwakani ( hususani fani za afya).
Naombeni ushauri wenu kuhusu fani ambayo ni marketable zaidi (kulingana na alama hizo)
Matokeo yake ni haya:
CIV "E" HIST "D" GEO "D" KIS " D" ENG " E" PHY " E" CHEM "C" BIO "E" B/Math " D". Pass 0.9
Nina ndugu yangu alimaliza O-level mwaka Jana ila kwa bahati mbaya ha kufanya vizuri kuweza kuendelea advance.
Mimi sikuwepo ila nmerud nimeambiwa alikuwa anafanya mipango aende jeshi ikashindikana. Sasa inabid atafutiwe fani ya kusomea hata mwakani ( hususani fani za afya).
Naombeni ushauri wenu kuhusu fani ambayo ni marketable zaidi (kulingana na alama hizo)
Matokeo yake ni haya:
CIV "E" HIST "D" GEO "D" KIS " D" ENG " E" PHY " E" CHEM "C" BIO "E" B/Math " D". Pass 0.9