BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,164
Anaweza pia akamwambia kwamba kanasa kale kaugonjwa ketu.
Nimechoka na vituko vyake,ananijbu dharau,anapokea simu akijsikia,txts hazijibiwi kwa wakati na mambo mengne mengi ya mauzi ambayo nikiyaandka hapa mnaweza kunihurumia,eti sababu ya yote haya ni kwamba nliondoka ghafla bila kumuaga,sa hzi tuko mikoa tofaut na ninahis ana kidume kingne tayar knamzuzua.naomben mnipe maneno yenye busara yatakayo tufanya wote tuachane kwa aman...natanguliza shukrani.