Ushauri unahiyajika tafadhali.


Asante kaka kwa ushauri wako, nitamfikishia naamini ataufanyia kazi.
 
Asichague kumfurahisha mtu mzima mwenye hatia na anayejua anavhofanya na kumtesa mtoto asiye na hatia na asiyejua lolote
 
Nashukuru mno dada mimi49 kwa ushauri wako.
 
Mi nadhani bora suala hili walichukulie kisheria zaidi...ili wawe na custody ya mtoto 50/50 au mama awe na mtoto 100% mpaka atakapofikisha umri fulani....Kwasababu wakiendelea kulichukulia kiholela tu huyo mwanaume atampelekesha sana bidada....
 
Asichague kumfurahisha mtu mzima mwenye hatia na anayejua anavhofanya na kumtesa mtoto asiye na hatia na asiyejua lolote

Hapa shida sio kumfurahisha huyo jamaa ila shida ni kuhakikisha ndoa ya bidada haiterereki na sanasana mumewe haumizwi.
 
Mim naona aende ustawi wa jamii na kule atakutana na sheria ambazo zitamsaidia na itaamuliwa mtoto akae wapi ktk mikono salama,na pia huko aeleze kila kitu kuhusu mumewe anavyopata usumbufu watatoa ushaur mzur ambao utasaidia.
 
Mim naona aende ustawi wa jamii na kule atakutana na sheria ambazo zitamsaidia na itaamuliwa mtoto akae wapi ktk mikono salama,na pia huko aeleze kila kitu kuhusu mumewe anavyopata usumbufu watatoa ushaur mzur ambao utasaidia.

Nashukuru mno dada yangu. Nitamfikishia ili ajaribu kuufanyia kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…