Ushauri unahitajka

Ushauri unahitajka

alipofika

Member
Joined
Apr 29, 2015
Posts
41
Reaction score
12
Hope weekend hiko poa kwenu,

For a long tyme now nimefall in love kwa mtu ambaye inaonekana hayuko interested wth me nipo na wakati mgumu katka hili najitahidi kumsahau but nashindwa.

Please naomba ushauri nifanyaje
 
Njoo The Signature nikwambie nini cha kufanya........asikuzingue.........
 
Hayo maamuzi tu, funguka waweza badili mtazamo wake akijua ukweli wa hisia zako kwako.
 
Nmefanya hvyo kadr ya uwezo wangu bt stll sjafanikiwa@Menthry
 
Wewe ni wa jinsia gani, halafu una lengo gani naye kumuoa/kuolewa naye?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom