Malcom_X Member Joined Mar 23, 2017 Posts 20 Reaction score 50 Aug 9, 2019 #1 Habari yenu wadau, na kwa wale wataalamu wa mambo. Napenda kufahamu hii gari ubora na udhaifu wa wake. Na ikiwezekana ina Piston 3 au 4?
Habari yenu wadau, na kwa wale wataalamu wa mambo. Napenda kufahamu hii gari ubora na udhaifu wa wake. Na ikiwezekana ina Piston 3 au 4?
ankai JF-Expert Member Joined Nov 25, 2017 Posts 3,282 Reaction score 4,260 Aug 9, 2019 #2 Ngoja wenye magari waje sisi ambao hatuna magari ni ngumu sana kuyajua haya mkuu ngoja mshana extrovet and co waje apa
Ngoja wenye magari waje sisi ambao hatuna magari ni ngumu sana kuyajua haya mkuu ngoja mshana extrovet and co waje apa
yohanesy Senior Member Joined May 10, 2017 Posts 136 Reaction score 137 Aug 9, 2019 #3 Wazee wa foot tusubiri wajuaji waje
PureView zeiss JF-Expert Member Joined Sep 5, 2016 Posts 14,252 Reaction score 45,799 Aug 9, 2019 #4 Chukua yenye piston 4 angalau itakufaa Kwa Safar za mjini na mikoani kuliko hiyo yenye piston 3. Kuhusu ulaji wa mafuta utofauti wake ni mdogo Sana pia kuhusu uimara yote yanafanana tu
Chukua yenye piston 4 angalau itakufaa Kwa Safar za mjini na mikoani kuliko hiyo yenye piston 3. Kuhusu ulaji wa mafuta utofauti wake ni mdogo Sana pia kuhusu uimara yote yanafanana tu
RugambwaYT JF-Expert Member Joined Jan 11, 2014 Posts 1,443 Reaction score 2,031 Aug 11, 2019 #5 Malcom_X said: Habari yenu wadau, na kwa wale wataalamu wa mambo. Napenda kufahamu hii gari ubora na udhaifu wa wake. Na ikiwezekana ina Piston 3 au 4? View attachment 1176660View attachment 1176661 Click to expand... 1.3 ina cylinders 4.
Malcom_X said: Habari yenu wadau, na kwa wale wataalamu wa mambo. Napenda kufahamu hii gari ubora na udhaifu wa wake. Na ikiwezekana ina Piston 3 au 4? View attachment 1176660View attachment 1176661 Click to expand... 1.3 ina cylinders 4.