Jaman Naombeni Ushauli Watuwangu
Wa Nguvu,, Kuna Msichana Nampenda
Na Nilimwambia Akaniambia Tayari
Anamtu Wake Na Tukiwa Tunaongea
Kwenye Cm Tunaongea Vizuri Tu.Sasaivi
Nimetoka Safari Na Siomda Mrefu Tumeaidiana Tunakutana Baada Ya
Wiki1 Sasa Naombeni Ushauli
Nimpelekee Zawad Gan Anaweza
Akapendezewa Nayo Na Akazid
Kuvutiwa Na Mm,