Yatima nao wanamatatizo yao besti.
Wanakuwa wameathirika kisaikolojia.
Hebu muulize........ni lazima ndoa ya mwenzie ifanane na yake........?......
nikapige zangu kura mie niende kwa mama mkwe wangu leo........kaniahidi kunipikia mdudu hodari.......na ndizi mzuzu.........
hahahahaah
niunganishie basi nikimbie gubu la wakwe. lol
kumpata kazi sana nitakupa kaka yangu usijali wifi na wakwe wote wako poa
watu hawataki wenzao waishi watakavyo! vote for naniliiuuu.
Hebu muulize........ni lazima ndoa ya mwenzie ifanane na yake........?......
nikapige zangu kura mie niende kwa mama mkwe wangu leo........kaniahidi kunipikia mdudu hodari.......na ndizi mzuzu.........
Yaan ni kama movie vile shida tupu,jamaa anadai hana mgogoro mkubwa wa kuvunja ndoa,migogoro midogo ambayo ni normal, yaan akikuelezea vikao walivyo kutafuta suluhu ni vingi kwenye vikao mama anakubar yameisha kumbe anazuga tu. Sasa hofu yake ni laana na na pia anahofu kumuacha mke kwani atamlaum mno ukizingatia wanamtoto wa miez nane.
Yatima nao wanamatatizo yao besti.
Wanakuwa wameathirika kisaikolojia.
psychologically affected, like how ?
Kwasababu ya manung'uniko na difficulties walizopitia.
but that doesn't make them non-wife or non-hubby materials.. or wasioe na kuolewa!