Ushauri:Sioi tena

DREAMBOY

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
2,117
Reaction score
1,373
Jaman habari zenu.

Polen na kusubiri maamuzi ya Ikulu.

Najitokeza hapa kuuvaa uhusika watatizo nililoshirikishwa na rafiki yangu x wa gomz. Yeye yupo kwenye utata amuache mkewe au aendelee naye kisa mama yake mama yake;

Malalamiko ya mzazi huyo kwa mkwe wake ni; roho mbaya(uchoyo), amemloga mtoto wake, uvivu ni malaya yaani kabla hajamuoa, n.k. Sasa jamaa kamuamrisha mkewe aombe msamaha kaomba lakini mamayake anaonekana kuukubali kishingo upande, kwani anachotaka nimuache tu anawaambia watu wengine sio jamaa.

Kwa kifupi jamaa kamhamisha mke wake lakini mimi ameahidi hataenda kuwaona, yaani in short ni full migogoro, kanitisha kweli sioni raha ya ndoa kabisa, hivi jamani recovery ya hili ikoje?
 
Zipo sana hizi siku hizi. Ukipata mwanaume asiye na msimamo utajuta.
 
Mzazi hawezi kumwacha mwanae anaangamia.
 
Yaan ni kama movie vile shida tupu,jamaa anadai hana mgogoro mkubwa wa kuvunja ndoa,migogoro midogo ambayo ni normal, yaan akikuelezea vikao walivyo kutafuta suluhu ni vingi kwenye vikao mama anakubar yameisha kumbe anazuga tu. Sasa hofu yake ni laana na na pia anahofu kumuacha mke kwani atamlaum mno ukizingatia wanamtoto wa miez nane.
 
Hebu muulize........ni lazima ndoa ya mwenzie ifanane na yake........?......

nikapige zangu kura mie niende kwa mama mkwe wangu leo........kaniahidi kunipikia mdudu hodari.......na ndizi mzuzu.........

bora ww nchi kuna watu wanashida kwel,na kututisha ni kwa kuwa watu wengi wanalalamika mno
 
Rafiki yako asioe

Hata akioa malaika atamtesa tu

Maana maamuzi yanafanywa na mama yake
 
Ni kajua Siowi Sumari anagombea uenyekiti wa serikali ya mtaa baada ya kula za uso kwa nassari
 

Ndoa ni ya Mungu ampende mkewe hawezi pata laana yoyote kwa kuwa hana kosa. Angekuwa kaoa mwanaume mwenzake ndio angeogopa maana hiyo hata Mungu angemlaani!
 

Laana ya kuogopa ni kumuacha mama wa mtt wake bila kosa yeye mbona kalelewa na baba na mama anataka mwanae aishi vipi kisa bibi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…