Ninaishi na mwanamke ambaye nimezaa naye mtoto mmoja ila hatujafunga ndoa.
Home kwetu wanamfahamu, kwao pia wananifahamu.
Kiukwel kwa sasa nimefall sana kwa mwanamke mwingine ambaye ndiye hasa natamani awe mke wangu wa ndoa.
Tatizo linakuja, huyu wa pili ni dini tofauti na mm japo yu tayari hata nikafunge naye ndoa ya Kiserikali, japokuwa na yeye anawasiwasi kama wazazi wake watalikubali hilo kwani wameishika dini yao kweli kweli.
Huyu wa home naye kila kukicha ananiuliza vp ndoa, nampiga calendar.
Yule mwingine kanipa Go ahead niende kwao natest ali kama wazee wake watakubali.
Nimeshidwa kwenda sijui nitaanzia wapi kumuacha huyu ninayeishi naye.
Kwa mawazo yangu, hata kma nitafunga ndoa na huyu ninayeishi naye, nitamcheat siku zote a maisha yangu sababu ninayempenda ndo hivyo kuna vikwazo kati yetu.
Nifanyeje wandugu?