Ushauri online busness

Ushauri online busness

vicent01

Senior Member
Joined
Nov 18, 2018
Posts
100
Reaction score
94
Habari waheshimiwa

Kama kichwa Cha habari kinavyosema nataka kufungua online business ambayo nitadeal hasa na all computer na vifaa vyake km ram na disk,flat screen nk..

Na mimi nipo DSM Kariakoo na BIASHARA yangu itakua ni natuma bidhaa mikoa yote Tanzania na plan yangu ni kuwa na mawakala mikoa yote Tz..

Na kuhusu bidhaa siagiz nje Kwa Sasa nacheza na Kariakoo tu later nitaanza KUAGIZA Alibaba..wakubwa ushauri wenu Mana ni km 1 week imebak niwashe mitambo na nitaweka matangazo Fb na Instagram na bidhaa zitakua cheep Sana with best quality..

Ushauri jaman àm new kwenye hi biashara
 
Sasa bado wiki tu uwashe mitambo .unataka ushauri kwenye nini? we km ulishaanza maliza then ukikwama wadau watakushauri ahsante.
 
Kila la kheri
Wanakuja kukushauri zaidi.
 
Habari waheshimiwa

Kama kichwa Cha habari kinavyosema nataka kufungua online business ambayo nitadeal hasa na all computer na vifaa vyake km ram na disk,flat screen nk..

Na mimi nipo DSM Kariakoo na BIASHARA yangu itakua ni natuma bidhaa mikoa yote Tanzania na plan yangu ni kuwa na mawakala mikoa yote Tz..

Na kuhusu bidhaa siagiz nje Kwa Sasa nacheza na Kariakoo tu later nitaanza KUAGIZA Alibaba..wakubwa ushauri wenu Mana ni km 1 week imebak niwashe mitambo na nitaweka matangazo Fb na Instagram na bidhaa zitakua cheep Sana with best quality..

Ushauri jaman àm new kwenye hi biashara
Hongera kwa uamuzi wa busara na Karibu PM tufanye Kazi.Nipigie Kesho 0710323060.
 
Back
Top Bottom