Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Salaam wana JF
Kama mada inavyojieleza
Mimi nimehitimu degree(Bachelor) miaka 5 iliyopita na hadi sasa nafanya kazi za kuunga unga ingawa nalipwa ila hadi mwisho wa mwezi
Nikakaa chini nikawaza nikaona niende VETA tu nikasomee fani ambayo itanifanya nijiajiri na kujipatia pesa kila siku au baada ya siku kadhaa pasipo kusubiri mwisho wa mwezi nilipwe na muajiri wangu
Fani hiyo itanifanya nijiajiri pasipo kutegemea mtaji mkubwa au bila mtaji ,yani ujuzi nitakaoupata ndio uwe mtaji wangu
Nimekaa nikawaza nikaona fani za ufundi stadi zinasaidia kwa kiasi flani kujiajiri na kuepukana na utumwa wa kuajiriwa na kusubiri mshahara mwisho wa mwezi
Sasa wadau naomba mnitajie kozi zitakazokidhi hitaji langu la kujiajiri yani nitakua napata michongo ya kufanya frequently.
Nawasilisha.
Kama mada inavyojieleza
Mimi nimehitimu degree(Bachelor) miaka 5 iliyopita na hadi sasa nafanya kazi za kuunga unga ingawa nalipwa ila hadi mwisho wa mwezi
Nikakaa chini nikawaza nikaona niende VETA tu nikasomee fani ambayo itanifanya nijiajiri na kujipatia pesa kila siku au baada ya siku kadhaa pasipo kusubiri mwisho wa mwezi nilipwe na muajiri wangu
Fani hiyo itanifanya nijiajiri pasipo kutegemea mtaji mkubwa au bila mtaji ,yani ujuzi nitakaoupata ndio uwe mtaji wangu
Nimekaa nikawaza nikaona fani za ufundi stadi zinasaidia kwa kiasi flani kujiajiri na kuepukana na utumwa wa kuajiriwa na kusubiri mshahara mwisho wa mwezi
Sasa wadau naomba mnitajie kozi zitakazokidhi hitaji langu la kujiajiri yani nitakua napata michongo ya kufanya frequently.
Nawasilisha.