chakula cha watoto
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 539
- 1,545
Niowe baba angu?Wambie Waoe wao kwa niaba yako
wewe ni mhuni usioe utatesa mtoto wa watu....Yani niache three some MMF /FFM afu niowe
Mimi mzawa wa tandale mtoto WA townwewe ni mhuni usioe utatesa mtoto wa watu....
🤣 🤣 🤣 🤣 😬 😬
Kuna nini huku
"oya wajuba" "wahuni"! Walio vizuri kiuchumi hawana kauli za hivi.Kama upo vizuri kiuchumi oa!
Vinginevyo wasikilize hao ndugu zako alafu baadae uje utusumbue huku jamiiforum
Mstari wa Kitabu gani huu Mkuu
Tandale ni town kumbeMimi mzawa wa tandale mtoto WA town
Sawa"oya wajuba" "wahuni"! Walio vizuri kiuchumi hawana kauli za hivi.
Njoo tandale tanesco tukuingize cha kikeTandale ni town kumbe