man of the year
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 345
- 85
Habari zenu,
Wanajukwaa natumaini mnaendelea na majukumu ya kila siku, nimeona sio vibaya tukipeana ushauri kwa jambo nalopitia kwa sasa ingawa inaweza onekana jambo la kawaida kwa wenzangu.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 baada ya kuona umri unasonga nipo ktk mikakati ya kupata jiko kwa undani ni kijana mkimya sana hii imepelekea kupata sifa toka kwa majirani wanaonizunguka imefikia mahali wanataka kujua nipo na nani kwa sasa.
Naitaji kufunga pingu za maisha imekua ngumu kufanya uchaguzi uliosahihi sababu shemeji yangu(mke wa kaka) anatak nimchumbie mdogo wake amekua akitumia nguvu nyingi karibu ukoo mzima unafahamu hili.
Yupo pia binti nilie mfundisha mapenzi baada ya kupotezana muda mrefu tulipokutana akanikumbushia yote niliomhaid miaka 10 oliopita nafsi ilinisuta maana ni story ndefu.
Pia kuna huyu tumesota wote chuo na baada ya chuo nifanye uchaguzi gani hapa nisisononeshe yeyote kumbukeni nimeumbwa na huruma sana
Naombeni msaada utakaonipa ujasiri.
Asante
Nawasilisha
Wanajukwaa natumaini mnaendelea na majukumu ya kila siku, nimeona sio vibaya tukipeana ushauri kwa jambo nalopitia kwa sasa ingawa inaweza onekana jambo la kawaida kwa wenzangu.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 baada ya kuona umri unasonga nipo ktk mikakati ya kupata jiko kwa undani ni kijana mkimya sana hii imepelekea kupata sifa toka kwa majirani wanaonizunguka imefikia mahali wanataka kujua nipo na nani kwa sasa.
Naitaji kufunga pingu za maisha imekua ngumu kufanya uchaguzi uliosahihi sababu shemeji yangu(mke wa kaka) anatak nimchumbie mdogo wake amekua akitumia nguvu nyingi karibu ukoo mzima unafahamu hili.
Yupo pia binti nilie mfundisha mapenzi baada ya kupotezana muda mrefu tulipokutana akanikumbushia yote niliomhaid miaka 10 oliopita nafsi ilinisuta maana ni story ndefu.
Pia kuna huyu tumesota wote chuo na baada ya chuo nifanye uchaguzi gani hapa nisisononeshe yeyote kumbukeni nimeumbwa na huruma sana
Naombeni msaada utakaonipa ujasiri.
Asante
Nawasilisha