Rangi bongo!!!
Mkuu hapa ni luitisha mkutano na waandishi wa habari, ukiongozanan na makamanda wa majeshi yetu, period!!!
Hii naona kama haiwezekani kwetu!! Maana inaidi ilmu itolewe kwa kiasi kikubwa maana ya rangi hizi. Watawala wetu hawako tayari kwa hili, kwani si kipaumbele kwa sasa!!! Watoto wetu wenyewe wanakaa kwenye mawe wakiwa darasani, watajua lini?:hand: