enka mbe Senior Member Sep 3, 2016 165 113 May 13, 2017 #1 Kuna msichana nilikuwa namfukuzia kumbe baada ya kuanza kuongea naye kwa undani nikagundua anafahamiana na msichana wangu ambaye nina malengo naye. Sasa najiuliza niendeleee tu kufukuzia au nisitishe, chai imeingiwa nzi.
Kuna msichana nilikuwa namfukuzia kumbe baada ya kuanza kuongea naye kwa undani nikagundua anafahamiana na msichana wangu ambaye nina malengo naye. Sasa najiuliza niendeleee tu kufukuzia au nisitishe, chai imeingiwa nzi.
middle east JF-Expert Member Dec 30, 2016 1,308 1,690 May 13, 2017 #2 Sasa huoni kama ndo njia rahisi ya kula tunda
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 52,651 71,007 May 13, 2017 #3 Sitisha baki na mmoja ulie na malengo nae
sumbai JF-Expert Member Jun 16, 2014 19,916 45,057 May 13, 2017 #4 Baki njia kuuu....... Tamaa ilimponza fisi
BIGstallion JF-Expert Member Sep 13, 2016 6,324 7,912 May 13, 2017 #5 Chai ikingia inzi unanyonya na inzi,..
chiqutitta JF-Expert Member Nov 13, 2015 1,160 3,124 May 13, 2017 #7 Chai ikiingia nzi unatoa unaendelea kunywa.
B Bacary Superior JF-Expert Member Jul 3, 2014 3,721 1,514 May 13, 2017 #8 Malengo wapi piga goma uende zako
mxsdk JF-Expert Member Aug 11, 2014 3,585 2,049 May 13, 2017 #9 Kwani uyo mwenye malengo naye hakutoshi?acha uaribifu..una pepo LA uaribifu.badilika.
samua JF-Expert Member Jul 18, 2016 1,029 708 May 13, 2017 #10 Muangaza mbili mmoja humponya.......chagua mmoja......
Shadeeya JF-Expert Member Mar 12, 2014 49,713 118,693 May 13, 2017 #11 Ndio ukome sasa. Hapo ni kuchagua mmoja mana mwisho wa siku utawakosa wote.
PROF NDUMILAKUWILI JF-Expert Member Mar 25, 2016 10,518 13,141 May 13, 2017 #12 Wewe endelea kuwafanya kwa siri hawawezi gundua.
enka mbe Senior Member Sep 3, 2016 165 113 May 13, 2017 Thread starter #13 serio said: Kwani form six mmemaliza mitihani? Click to expand... Mm nilishamaliza form six tangu 2013 . Nko mwKa wa nne chuoni namalizia mkuu
serio said: Kwani form six mmemaliza mitihani? Click to expand... Mm nilishamaliza form six tangu 2013 . Nko mwKa wa nne chuoni namalizia mkuu
enka mbe Senior Member Sep 3, 2016 165 113 May 13, 2017 Thread starter #14 chiqutitta said: Chai ikiingia nzi unatoa unaendelea kunywa. Click to expand... Au sio
enka mbe Senior Member Sep 3, 2016 165 113 May 13, 2017 Thread starter #15 Bacary Superior said: Malengo wapi piga goma uende zako Click to expand... au sio ??
Castr JF-Expert Member Apr 5, 2014 34,900 69,983 May 13, 2017 #16 enka mbe said: Mm nilishamaliza form six tangu 2013 . Nko mwKa wa nne chuoni namalizia mkuu Click to expand... Sasa mbona una maswali ya kitoto?
enka mbe said: Mm nilishamaliza form six tangu 2013 . Nko mwKa wa nne chuoni namalizia mkuu Click to expand... Sasa mbona una maswali ya kitoto?
enka mbe Senior Member Sep 3, 2016 165 113 May 13, 2017 Thread starter #17 samua said: Muangaza mbili mmoja humponya.......chagua mmoja...... Click to expand... Sasa mmoja nilitaka kumvua chupi tu na kula viliwavyo nisepe. Sasa ndo hvyo ni marafiki na dem wa wangu wa malengo
samua said: Muangaza mbili mmoja humponya.......chagua mmoja...... Click to expand... Sasa mmoja nilitaka kumvua chupi tu na kula viliwavyo nisepe. Sasa ndo hvyo ni marafiki na dem wa wangu wa malengo
enka mbe Senior Member Sep 3, 2016 165 113 May 13, 2017 Thread starter #18 emmyta said: Ndio ukome sasa. Hapo ni kuchagua mmoja mana mwisho wa siku utawakosa wote. Click to expand... Duuuh...
emmyta said: Ndio ukome sasa. Hapo ni kuchagua mmoja mana mwisho wa siku utawakosa wote. Click to expand... Duuuh...
enka mbe Senior Member Sep 3, 2016 165 113 May 13, 2017 Thread starter #19 Castr said: Sasa mbona una maswali ya kitoto? Click to expand... Sio maswali ya kitoto .. hivi hujawahi kutokewa na ishu ka hii
Castr said: Sasa mbona una maswali ya kitoto? Click to expand... Sio maswali ya kitoto .. hivi hujawahi kutokewa na ishu ka hii
enka mbe Senior Member Sep 3, 2016 165 113 May 13, 2017 Thread starter #20 PROF NDUMILAKUWILI said: Wewe endelea kuwafanya kwa siri hawawezi gundua. Click to expand... ngoja nijaribu
PROF NDUMILAKUWILI said: Wewe endelea kuwafanya kwa siri hawawezi gundua. Click to expand... ngoja nijaribu