Ushauri kwako Innocent Bashungwa (W) Viwanda na Biashara

Ushauri kwako Innocent Bashungwa (W) Viwanda na Biashara

DBC

Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
19
Reaction score
11
Kwako brother Innocent Bash (W) Viwanda na Biashara

Nikupongeze kwa uteuzi wa kushika wizara hiyo nyeti hasa ukizingatia umuhimu wake kwa maendeleo ya nchi yetu.

Karibu katika majukumu mapya kutoka kuwa Naibu waziri Kilimo na sasa Waziri VB, naomba nikupe mambo mawili matatu ya kuyarejea na ikiwezekana kuyachukua kama ushauri kutoka kwangu ili kuendelea kusukuma gurudumu la maendeleo.

1. Wizara hii ya viwanda na biashara inajumuisha majukumu mengi sana ya kiutendaji na usimamizi hivyo hupaswi kukaa ofisini kusubiri taarifa bali kila siku unapaswa kuwa eneo la tukio (field) na kufuatilia.

2. Wizara yako inahusisha biashara hivyo unajukumu la kusimamia mamlaka nyingine zote zinazowahusu wafanyabiashara wakubwa kwa wadogo mamlaka hizo ni pamoja na TANTRADE, TRA, Mabenki, mamlaka nyingine za utoaji leseni na usimamizi wa viwanda.

3. Ufufuaji wa viwanda vilivyofungwa, vilivyopunguza wafanyakazi na vinavyoanzishwa viongeze uzalishaji hii ni kazi ambayo utatakiwa kuisimamia, kumbuka hii ndio inaongoza sera ya Serikali awamu ya tano, hivyo utapaswa kujikita katika kuibua, kuinua na kukuza sekta ya viwanda, nikushauri kitu katika jukumu hili la viwanda andaa muongozo wa kusaidia wawekezaji na taasisi zitakazopenda kuanzisha viwanda zipate unafuu wa kuanzisha viwanda.

4. Kuishauri mamlaka ya mapato Tanzania TRA kufuatilia taarifa za kodi kwa wateja wakubwa badala ya kukaa ofisini kusubiri wafuatwe wawafuate wao, wasimamie sheria na kanuni za mlipa kodi na sio kutumika kuwaondoa wengine sokoni na kuawabakiza wengine kuwe na uwanja sawa kwa walipa kodi wakubwa, TRA iendelee kuimarisha vituo vya kikodi vya mipakani na vile vya pamoja (One Stop Boder Post) viwe na mfumo wa Teknoljia ulioimara, walipa kodi wa kati wanaotumia mashine za EFDs pamoja na wenye vituo vya mafuta wanaotumia mashine wamekuwa na malalamiko ya muda mrefu wasilkilizwe, wafanyabiashara wadogo wawndelee kutengenezewa mazingira ya ulipa kodi kwa urafiki na TRA na sio kama shuruti ili kuwafanya waone kodi ni wajibu.

5. Andaa kongamano kubwa la wafanyabiashara kwa kushirikiana na balozi zetu zilizoko ukanda wa Asia hasa nchi za Malaysia, India, China, Japan, Korea nk ili wawaalike wawekezaji waje kujadili fursa zilizopo na wapi wanaweza kuwekeza pia wanaweza kushirikiana na watanzania, kongamano hilo linaweza kueleza kiasi cha ardhi ya uwekezaji kilichopo na kuainisha maeneo hayo, miundombinu iliyopo kama umeme, barabara na bandari, sekta binafsi pia ishiri.

Kwa leo naomba niishie hapo DBC
 
Ushauri mzuri kama atakusikia alifanyie kazi,ila hawa watu wakiingia huko sijui akili zao zinahama?
 
Ushauri mzuri kama atakusikia alifanyie kazi,ila hawa watu wakiingia huko sijui akili zao zinahama?
Nyongeza aende tunduma mpakani haraka sana aongee na wafanya biashara warudi upande wa Tz na yule mkusanya kodi pale amtoe haraka sana ,kafukuza wafanya biashara na kodi zake za ajabu ajabu.
 
Ushauri mzuri

Naongezea kwamba na uuzaji wa vya nchini kwa masoko ya hapa na ya nje, kuwezesha hata watu wafanha biashara wauzaji hata wakulima wenye mazao au madalali nmk. kupata masoko kwa kutangaza na kusaka wanunuzi kutoka popote duniani na kuwahorodhesha.

Kuna watendaji wanaficha info ili wapeane kazi na watu wao.. ambao wengi wanaishia kushindwa na ndipo inakatisha tamaa wanunuzi wa haswa kutoka nje ya nchi. Inawapa pocha mbaya kama vile ni pote au wote hivyo hivyo.
 
  • Thanks
Reactions: DBC
Japo namuona anhaiba ya usoftnesss natumain atatuprove wrong..

Hakika sasa wizara zote zimeshikwa na vijana wazee watulie watupe busara zao
 
Japo namuona anhaiba ya usoftnesss natumain atatuprove wrong..
Hakika sasa wizara zote zimeshikwa na vijana wazee watulie watupe busara zao

Hakika Comred, vijana wameshika hatamu japo ningelikua mshauri wa Rais ningemshauri wizara hii ingemfaa sana Ndugu January Makamba na kungekua na mafanikio makubwa
 
Hakika Comred, vijana wameshika hatamu japo ningelikua mshauri wa Rais ningemshauri wizara hii ingemfaa sana Ndugu January Makamba na kungekua na mafanikio makubwa
Januari hapana aisee, hafai kabisa yule jamaa, tena Rais angemondoa kabisa kwenye baraza.
 
Januari hapana aisee, hafai kabisa yule jamaa, tena Rais angemondoa kabisa kwenye baraza.

Huyu jamaa anauwezo mkubwa sana kama umekua mfuatiliaji mzuri tangu alipokua serikali ya awamu ya nne alikua na nafasi ya mshauri wa Rais na angalia alivyotekeleza na kufanikisha kutungwa na kutekelezwa kwa baadhi ya sheria zenye manufaa kwa sasa ikiwemo sheria ya Mtandao na sheria ya kutokomeza Mifuko ya Plastiki chini ya Ofisi ya Makamo wa Rais
 
Hii wizara itabadilisha mikono sana wakati makusanyo ya kodi yanaenda kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Chato na kununua wapinzani kwa gharama yoyote halafu mambo yakidorora kutumbua kunaanza
 
Kwako brother Innocent Bash (W) Viwanda na Biashara

Nikupongeze kwa uteuzi wa kushika wizara hiyo nyeti hasa ukizingatia umuhimu wake kwa maendeleo ya nchi yetu.

Karibu katika majukumu mapya kutoka kuwa Naibu waziri Kilimo na sasa Waziri VB, naomba nikupe mambo mawili matatu ya kuyarejea na ikiwezekana kuyachukua kama ushauri kutoka kwangu ili kuendelea kusukuma gurudumu la maendeleo.

1. Wizara hii ya viwanda na biashara inajumuisha majukumu mengi sana ya kiutendaji na usimamizi hivyo hupaswi kukaa ofisini kusubiri taarifa bali kila siku unapaswa kuwa eneo la tukio (field) na kufuatilia.

2. Wizara yako inahusisha biashara hivyo unajukumu la kusimamia mamlaka nyingine zote zinazowahusu wafanyabiashara wakubwa kwa wadogo mamlaka hizo ni pamoja na TANTRADE, TRA, Mabenki, mamlaka nyingine za utoaji leseni na usimamizi wa viwanda.

3. Ufufuaji wa viwanda vilivyofungwa, vilivyopunguza wafanyakazi na vinavyoanzishwa viongeze uzalishaji hii ni kazi ambayo utatakiwa kuisimamia, kumbuka hii ndio inaongoza sera ya Serikali awamu ya tano, hivyo utapaswa kujikita katika kuibua, kuinua na kukuza sekta ya viwanda, nikushauri kitu katika jukumu hili la viwanda andaa muongozo wa kusaidia wawekezaji na taasisi zitakazopenda kuanzisha viwanda zipate unafuu wa kuanzisha viwanda.

4. Kuishauri mamlaka ya mapato Tanzania TRA kufuatilia taarifa za kodi kwa wateja wakubwa badala ya kukaa ofisini kusubiri wafuatwe wawafuate wao, wasimamie sheria na kanuni za mlipa kodi na sio kutumika kuwaondoa wengine sokoni na kuawabakiza wengine kuwe na uwanja sawa kwa walipa kodi wakubwa, TRA iendelee kuimarisha vituo vya kikodi vya mipakani na vile vya pamoja (One Stop Boder Post) viwe na mfumo wa Teknoljia ulioimara, walipa kodi wa kati wanaotumia mashine za EFDs pamoja na wenye vituo vya mafuta wanaotumia mashine wamekuwa na malalamiko ya muda mrefu wasilkilizwe, wafanyabiashara wadogo wawndelee kutengenezewa mazingira ya ulipa kodi kwa urafiki na TRA na sio kama shuruti ili kuwafanya waone kodi ni wajibu.

5. Andaa kongamano kubwa la wafanyabiashara kwa kushirikiana na balozi zetu zilizoko ukanda wa Asia hasa nchi za Malaysia, India, China, Japan, Korea nk ili wawaalike wawekezaji waje kujadili fursa zilizopo na wapi wanaweza kuwekeza pia wanaweza kushirikiana na watanzania, kongamano hilo linaweza kueleza kiasi cha ardhi ya uwekezaji kilichopo na kuainisha maeneo hayo, miundombinu iliyopo kama umeme, barabara na bandari, sekta binafsi pia ishiri.

Kwa leo naomba niishie hapo DBC
Mbona hujamshauri kuhusus korosho? Hii ndo imemwondoa mtangulizi wake!
 
Write your reply...
Kuhusu korosho najua atamudu ndio maana sijamshauri kwasababu alikua naibu waziri Kilimo alihusika katika kukusanya na kuzihifadhi kwenye maghala kwahiyo ni wajibu wake sasa kuziuza, itambidi atafute masoko kwa korosho nusu iliyoko kwenye maghala na nusu nyingine ibanguliwe ndani na kuuzwa ikiwa processed
 
Huyu jamaa anauwezo mkubwa sana kama umekua mfuatiliaji mzuri tangu alipokua serikali ya awamu ya nne alikua na nafasi ya mshauri wa Rais na angalia alivyotekeleza na kufanikisha kutungwa na kutekelezwa kwa baadhi ya sheria zenye manufaa kwa sasa ikiwemo sheria ya Mtandao na sheria ya kutokomeza Mifuko ya Plastiki chini ya Ofisi ya Makamo wa Rais
Siyo mwaminifu.
 
Kwako brother Innocent Bash (W) Viwanda na Biashara

Nikupongeze kwa uteuzi wa kushika wizara hiyo nyeti hasa ukizingatia umuhimu wake kwa maendeleo ya nchi yetu.

Karibu katika majukumu mapya kutoka kuwa Naibu waziri Kilimo na sasa Waziri VB, naomba nikupe mambo mawili matatu ya kuyarejea na ikiwezekana kuyachukua kama ushauri kutoka kwangu ili kuendelea kusukuma gurudumu la maendeleo.

1. Wizara hii ya viwanda na biashara inajumuisha majukumu mengi sana ya kiutendaji na usimamizi hivyo hupaswi kukaa ofisini kusubiri taarifa bali kila siku unapaswa kuwa eneo la tukio (field) na kufuatilia.

2. Wizara yako inahusisha biashara hivyo unajukumu la kusimamia mamlaka nyingine zote zinazowahusu wafanyabiashara wakubwa kwa wadogo mamlaka hizo ni pamoja na TANTRADE, TRA, Mabenki, mamlaka nyingine za utoaji leseni na usimamizi wa viwanda.

3. Ufufuaji wa viwanda vilivyofungwa, vilivyopunguza wafanyakazi na vinavyoanzishwa viongeze uzalishaji hii ni kazi ambayo utatakiwa kuisimamia, kumbuka hii ndio inaongoza sera ya Serikali awamu ya tano, hivyo utapaswa kujikita katika kuibua, kuinua na kukuza sekta ya viwanda, nikushauri kitu katika jukumu hili la viwanda andaa muongozo wa kusaidia wawekezaji na taasisi zitakazopenda kuanzisha viwanda zipate unafuu wa kuanzisha viwanda.

4. Kuishauri mamlaka ya mapato Tanzania TRA kufuatilia taarifa za kodi kwa wateja wakubwa badala ya kukaa ofisini kusubiri wafuatwe wawafuate wao, wasimamie sheria na kanuni za mlipa kodi na sio kutumika kuwaondoa wengine sokoni na kuawabakiza wengine kuwe na uwanja sawa kwa walipa kodi wakubwa, TRA iendelee kuimarisha vituo vya kikodi vya mipakani na vile vya pamoja (One Stop Boder Post) viwe na mfumo wa Teknoljia ulioimara, walipa kodi wa kati wanaotumia mashine za EFDs pamoja na wenye vituo vya mafuta wanaotumia mashine wamekuwa na malalamiko ya muda mrefu wasilkilizwe, wafanyabiashara wadogo wawndelee kutengenezewa mazingira ya ulipa kodi kwa urafiki na TRA na sio kama shuruti ili kuwafanya waone kodi ni wajibu.

5. Andaa kongamano kubwa la wafanyabiashara kwa kushirikiana na balozi zetu zilizoko ukanda wa Asia hasa nchi za Malaysia, India, China, Japan, Korea nk ili wawaalike wawekezaji waje kujadili fursa zilizopo na wapi wanaweza kuwekeza pia wanaweza kushirikiana na watanzania, kongamano hilo linaweza kueleza kiasi cha ardhi ya uwekezaji kilichopo na kuainisha maeneo hayo, miundombinu iliyopo kama umeme, barabara na bandari, sekta binafsi pia ishiri.

Kwa leo naomba niishie hapo DBC
Huyu jamaa kama anapita humu jamvini haya si ya kuyapuuza hata kidogo.
 
kwa fukuzafukuza hii fashion ni ukifika unachukua chako mapema ili fukuza isije athiri maisha yako, wabongo wagumu kujiongeza

Ushauri mzuri kama atakusikia alifanyie kazi,ila hawa watu wakiingia huko sijui akili zao zinahama?
 
kwa fukuzafukuza hii fashion ni ukifika unachukua chako mapema ili fukuza isije athiri maisha yako, wabongo wagumu kujiongeza
Ukifanya hivyo utaozea jela na hautapata faida yoyote
 
Naona Tunduma/ Nakonde Onestop Boder Post tayari imezinduliwa. Hii ni moja ya mambo tulijaribu kushauri humu jf wadau
 
Back
Top Bottom