Ushauri kwa wazanzibar kuhusu muungano

Ushauri kwa wazanzibar kuhusu muungano

sirmudy

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2010
Posts
386
Reaction score
119
Mm nadhani viongozi wa zanzibar wasikImbilie kuuuvunja muungano kwanza....cha umuhimu ni kuangalia fursa zilizopo ndani ya zanzibar na kuziendeleza ipasavyo ili kila mzanzibar aweze kufaidika na rasilimali zilizopo.

1. Imarisheni utalii kwa kuhakikisha kuwa vitu vyote vya kitalii vikiwemo majengo ya zamani na historical sites zinatunzwa na kulindwa vizur ili hadi vizazi vijavyo vinufaike navyo

2. Jengeni kila mkoa kiwanda cha kusindika samaki ili mradi kila mwana shehia(kijana ) na mkaazi wa eneo lilipo kiwanda anapata ajira na kuifanya zanzibar iwe ni sehemu inayoongoza kwa kuuza samaki upande wa afrika mashariki.

3.Imarisheni miundombinu ikiwemo barabara na bandari ili zanzibar iwe moja kati ya nchi yenye bandari huru.

4.Fufueni zao la mwani na fanyieni jitihada katika kuiimarisha mikarafuu .

Mkifanya haya ,kila mtanganyika atatamani kuja zanzibar...then yakikamilika mnaweza kuvunja muungano.


Nionavyo mm,viongozi kuna kitu wanakihitaji, ila wazanzibar hawajui viongozi wa zanzibar wanataka nn( noncoincidence of wants)

Nawasilisha

Mzaliwa wa pemba
 
Mm nadhani viongozi wa zanzibar wasikImbilie kuuuvunja muungano kwanza....cha umuhimu ni kuangalia fursa zilizopo ndani ya zanzibar na kuziendeleza ipasavyo ili kila mzanzibar aweze kufaidika na rasilimali zilizopo.

1. Imarisheni utalii kwa kuhakikisha kuwa vitu vyote vya kitalii vikiwemo majengo ya zamani na historical sites zinatunzwa na kulindwa vizur ili hadi vizazi vijavyo vinufaike navyo

2. Jengeni kila mkoa kiwanda cha kusindika samaki ili mradi kila mwana shehia(kijana ) na mkaazi wa eneo lilipo kiwanda anapata ajira na kuifanya zanzibar iwe ni sehemu inayoongoza kwa kuuza samaki upande wa afrika mashariki.

3.Imarisheni miundombinu ikiwemo barabara na bandari ili zanzibar iwe moja kati ya nchi yenye bandari huru.

4.Fufueni zao la mwani na fanyieni jitihada katika kuiimarisha mikarafuu .

Mkifanya haya ,kila mtanganyika atatamani kuja zanzibar...then yakikamilika mnaweza kuvunja muungano.


Nionavyo mm,viongozi kuna kitu wanakihitaji, ila wazanzibar hawajui viongozi wa zanzibar wanataka nn( noncoincidence of wants)

Nawasilisha

Mzaliwa wa pemba

Wazo zuri lakini bila ya z'br huru hamna liwalo,unatuambia tuogolee baharini wakati umetufunga kamba!
 
Zanzibar kwanza miaka 50 inatosha kwa kweli mwenye macho anaona zanzibar ilikua inaitwa ulaya ndogo leo wapi tunapelekwa maisha yamekua magumu tuachwe tupumue😡😡
 
Tatizo ni kuwa wazanzibar wanadhani kuwa wakijitenga na muungano basi watafaidika na mambo mengi yaliyomo zanzibar, wakati viongozi wao wana malengo mengine kabisa kinyume na hayo. Na kuthibitisha hilo , muulize kiongozi yoyote anayaepigania zanzibar huru , nn mpango mkakati wake ndani ya miaka mitano kwa maendeleo ya zanzibar baada ya zanzibar kujitoa na muungano, atakujibu hana.


Tutafakari mara mbili ndugu zanagu.
 
Mm nadhani viongozi wa zanzibar wasikImbilie kuuuvunja muungano kwanza....cha umuhimu ni kuangalia fursa zilizopo ndani ya zanzibar na kuziendeleza ipasavyo ili kila mzanzibar aweze kufaidika na rasilimali zilizopo.

1. Imarisheni utalii kwa kuhakikisha kuwa vitu vyote vya kitalii vikiwemo majengo ya zamani na historical sites zinatunzwa na kulindwa vizur ili hadi vizazi vijavyo vinufaike navyo

2. Jengeni kila mkoa kiwanda cha kusindika samaki ili mradi kila mwana shehia(kijana ) na mkaazi wa eneo lilipo kiwanda anapata ajira na kuifanya zanzibar iwe ni sehemu inayoongoza kwa kuuza samaki upande wa afrika mashariki.

3.Imarisheni miundombinu ikiwemo barabara na bandari ili zanzibar iwe moja kati ya nchi yenye bandari huru.

4.Fufueni zao la mwani na fanyieni jitihada katika kuiimarisha mikarafuu .

Mkifanya haya ,kila mtanganyika atatamani kuja zanzibar...then yakikamilika mnaweza kuvunja muungano.


Nionavyo mm,viongozi kuna kitu wanakihitaji, ila wazanzibar hawajui viongozi wa zanzibar wanataka nn( noncoincidence of wants)

Nawasilisha

Mzaliwa wa pemba

hata uzaliwe wapi, lakini bado hujatoa ushauri wa maaana kwa Wazanzibari na unaonesha huna unalolijua katika masuala mazima ya Zanziabar na Muungano , coz mambo yote hayo uloyasema hayawezi kutekelezeka ndani ya hili Jini la Muungano na ndio maana kwa Wazanzibar wanaona ni bora Muungano ushuhulikiwe kwanza ndipo yaje mambo mengine.....!!
KWA WAZANZIBARN BORA TUWE NA NJAA NA UMASIKINI WA MILELE KULIKO KUWA NA JINI HILI LA MUUNGANO:
 
Back
Top Bottom