Troll JF
Platinum Member
- Feb 6, 2015
- 9,307
- 13,746
Wakuu Tanzania Field Zote zina Watu wa Kutosha tusijifananishe na Enzi Zile mtu akimaliza Masomo yake anaandikiwa Barua ya Kuanza Kazi bila kujali Competence yake Sasa hivi Wahitimu ni Wengi Vyuo ni Vingi Ubora wa Graduates Unatofautiana hivyo Kuna vitu kama Interview siku hizi nimeona mpaka Marubani wanafanya interview.
Mambo ya Msingi ya kuzingatia Kabla ya Kwenda Sehemu ya Interview.
1.Jiandae kwa Kusoma hasa ya Darasani Wakati umemaliza Jikite na Mambo ya Msingi yatakayokuletea Faida kama Kusoma Magazeti Punguza Kushinda Instagram na Kufuatilia Vipindi ambavyo havina tija katika Maisha yako Mimi Binafsi siwezi Kupungukiwa kitu kwa kutofatilia Shilawadu.Hivyo jikite kusoma Magazeti na makala zenye tija Mitandaoni.
2. Nenda na vifaa vyote Wakati wa Interview/usaili Wale wa Uhasibu Mnafahamu na nawashauri kuwa utumishi huwa wana Suprises kuna siku niliingiaga kwenye interview nikakutana na Maswali ya International Finance na Financial Management yalikua ya Kutumia Calculator kasoro moja tuu so nunatakiwa uwe na Vifaa.
3. Be familiar na Areas ambazo wanapenda kuzitoa sana Ukiona Utumishi Wamechanganya Sifa kuwa wanahitaji Either uwe umesoma Economics, Finance, Accounting, Law, n.k hapa Obvious haina haja ya Kukomaa na Calculator hapa komaa sana na Current Issues na Research (hii ni Sehemu pendwa) kwani Vyuo vingi katika Stage ya Undergraduate huwa wanalipua sana research Hivyo kwa Muda wako jisomee badala ya kushinda Instagram na Kuwafatilia akina Tunda, wema Sepetu na hata Mose iyobo.
4.Usiweke mitazamo hasi kichwani mwako ila unaingia kwenye interview umeshashindwa mathalani Mtu anaanza kusema oooh! Mwanangu CRDB bila kuwa na Mtu wa ndani au kama Siyo mchaga huchomoki mitazamo hii si ya kweli ni stress tuu za Kukosa Kazi na hata wewe Mmatumbi ukipata utagundua kuwa haiwezekani Organization kubwa kama ile iwe na Wachaga tuu.
5. Cheza na Nyakati ewe mtafuta ajira usifanye uzembe wa kutofanya maombi hasa Kazi nyingi zinapotangazwa lakini tuna kawaida ya kusema kwenye interview wanabebana Nakuhakikishia hakuna mtu mwenye ndugu 100, 200, au 300 wa kuwaweka katika taasis hiyo Kazi zinapotangazwa nyingi tumia nafasi hiyo kuomba kwa usahihi.
6. Siku ya Usaili jitahidi kuwa nadhifu kama msichana/mwanamke vaa Sketi au Gauni yako ambayo unakua comfortable ambayo siyo fupi pia unavaa na Viatu ambavyo si virefu sana. Mvulana/mwanaume unavaa suruali mi binafsi huwa napenda kuvaa Kadeti lakini kwenye interview hasa Oral napenda kuvaa suruali ya kitambaa hasa nyeusi na shati lolote ila jeupe is the best
-Nyoa/suka nywele zako Vizuri zitakazokupa Professional Look sitarajii Graduate eti unanyoa Kiduku au umepaka mapiko kichwani na Wave (wanaume) au umesuka nywele pembeni halafu katikati umeziachia ( wanawake) try to be professional.
7. Usisahau kula ama Kubeba fedha za kula siku ya usaili aisee mi Wakati nahangaika sikula asubuhi nilikua na nauli tuu ya kurudia utumishi pale Zamu yangu ilifika kama saa moja na Dakika 10 hivi Usiku imagine hapo taangu niamke saa 10 Alfajiri Njaa ilikua inagonga mbaya .
Nakumbuka Usaili ule nilipita na Kupangiwa Halmashauri moja hivi Japo nilienda tuu lakini nikaitwa mafunzoni kwenye Kazi nyingine iliyopatikana kibahati pia nikapiga Interview nyingine utumishi nikapita kwa kuwa ilikua purposely hapo ndo nahudumu kwa Sasa na Kule kwingine bado napiga Japo zote ni za serikali.
8: Jiamini Hiki ni kipengele muhimu sana Utumishi wanapenda watu wanaojiamini wanafuatilia movement za miwili wako kuanzia mikono so Usiogepe ogope vile ni vitu vya kawaida na Rehearsal na Rafiki yako/mdogo wako katika open place hasa uwanjani au beach na mpeane marks itakusaidia Ku control vitu kama Sauti.
9: Usijiwekee 100% kuwa wewe ndo wa kupata hiyo Kazi mwingine ameomba Kazi Mara mbili anashashindwa anaanza kuja na thread kibao za kuwaponda utumishi ooooh! Sitakuja kuomba Kazi tena sijui wanapendelea Tujaribu kukubali matokeo na kutoa maelezo ambayo ni Professional kuwa umeshindwa kwa sababu hukujiandaa Vizuri siyo kuanza kusingizia oooh mbona nilijibu Vizuri ki ukweli hakuna mtu akayehakikisha kuwa umejibu vizuri huko ni kutapatapa kwa mtu aliyeshindwa.
10. Acha Kulalamika kuna Kazi Inakusubiri wewe Hivyo ongeza kutuma maombi ya Kazi na Kumuomba Mungu.
Kwa Ushauri ama Maoni napatikana hapa hapa nawatakia Usiku mwema acha nikacheze na Shemeji/wifi yenu Sasa.
Mambo ya Msingi ya kuzingatia Kabla ya Kwenda Sehemu ya Interview.
1.Jiandae kwa Kusoma hasa ya Darasani Wakati umemaliza Jikite na Mambo ya Msingi yatakayokuletea Faida kama Kusoma Magazeti Punguza Kushinda Instagram na Kufuatilia Vipindi ambavyo havina tija katika Maisha yako Mimi Binafsi siwezi Kupungukiwa kitu kwa kutofatilia Shilawadu.Hivyo jikite kusoma Magazeti na makala zenye tija Mitandaoni.
2. Nenda na vifaa vyote Wakati wa Interview/usaili Wale wa Uhasibu Mnafahamu na nawashauri kuwa utumishi huwa wana Suprises kuna siku niliingiaga kwenye interview nikakutana na Maswali ya International Finance na Financial Management yalikua ya Kutumia Calculator kasoro moja tuu so nunatakiwa uwe na Vifaa.
3. Be familiar na Areas ambazo wanapenda kuzitoa sana Ukiona Utumishi Wamechanganya Sifa kuwa wanahitaji Either uwe umesoma Economics, Finance, Accounting, Law, n.k hapa Obvious haina haja ya Kukomaa na Calculator hapa komaa sana na Current Issues na Research (hii ni Sehemu pendwa) kwani Vyuo vingi katika Stage ya Undergraduate huwa wanalipua sana research Hivyo kwa Muda wako jisomee badala ya kushinda Instagram na Kuwafatilia akina Tunda, wema Sepetu na hata Mose iyobo.
4.Usiweke mitazamo hasi kichwani mwako ila unaingia kwenye interview umeshashindwa mathalani Mtu anaanza kusema oooh! Mwanangu CRDB bila kuwa na Mtu wa ndani au kama Siyo mchaga huchomoki mitazamo hii si ya kweli ni stress tuu za Kukosa Kazi na hata wewe Mmatumbi ukipata utagundua kuwa haiwezekani Organization kubwa kama ile iwe na Wachaga tuu.
5. Cheza na Nyakati ewe mtafuta ajira usifanye uzembe wa kutofanya maombi hasa Kazi nyingi zinapotangazwa lakini tuna kawaida ya kusema kwenye interview wanabebana Nakuhakikishia hakuna mtu mwenye ndugu 100, 200, au 300 wa kuwaweka katika taasis hiyo Kazi zinapotangazwa nyingi tumia nafasi hiyo kuomba kwa usahihi.
6. Siku ya Usaili jitahidi kuwa nadhifu kama msichana/mwanamke vaa Sketi au Gauni yako ambayo unakua comfortable ambayo siyo fupi pia unavaa na Viatu ambavyo si virefu sana. Mvulana/mwanaume unavaa suruali mi binafsi huwa napenda kuvaa Kadeti lakini kwenye interview hasa Oral napenda kuvaa suruali ya kitambaa hasa nyeusi na shati lolote ila jeupe is the best
-Nyoa/suka nywele zako Vizuri zitakazokupa Professional Look sitarajii Graduate eti unanyoa Kiduku au umepaka mapiko kichwani na Wave (wanaume) au umesuka nywele pembeni halafu katikati umeziachia ( wanawake) try to be professional.
7. Usisahau kula ama Kubeba fedha za kula siku ya usaili aisee mi Wakati nahangaika sikula asubuhi nilikua na nauli tuu ya kurudia utumishi pale Zamu yangu ilifika kama saa moja na Dakika 10 hivi Usiku imagine hapo taangu niamke saa 10 Alfajiri Njaa ilikua inagonga mbaya .
Nakumbuka Usaili ule nilipita na Kupangiwa Halmashauri moja hivi Japo nilienda tuu lakini nikaitwa mafunzoni kwenye Kazi nyingine iliyopatikana kibahati pia nikapiga Interview nyingine utumishi nikapita kwa kuwa ilikua purposely hapo ndo nahudumu kwa Sasa na Kule kwingine bado napiga Japo zote ni za serikali.
8: Jiamini Hiki ni kipengele muhimu sana Utumishi wanapenda watu wanaojiamini wanafuatilia movement za miwili wako kuanzia mikono so Usiogepe ogope vile ni vitu vya kawaida na Rehearsal na Rafiki yako/mdogo wako katika open place hasa uwanjani au beach na mpeane marks itakusaidia Ku control vitu kama Sauti.
9: Usijiwekee 100% kuwa wewe ndo wa kupata hiyo Kazi mwingine ameomba Kazi Mara mbili anashashindwa anaanza kuja na thread kibao za kuwaponda utumishi ooooh! Sitakuja kuomba Kazi tena sijui wanapendelea Tujaribu kukubali matokeo na kutoa maelezo ambayo ni Professional kuwa umeshindwa kwa sababu hukujiandaa Vizuri siyo kuanza kusingizia oooh mbona nilijibu Vizuri ki ukweli hakuna mtu akayehakikisha kuwa umejibu vizuri huko ni kutapatapa kwa mtu aliyeshindwa.
10. Acha Kulalamika kuna Kazi Inakusubiri wewe Hivyo ongeza kutuma maombi ya Kazi na Kumuomba Mungu.
Kwa Ushauri ama Maoni napatikana hapa hapa nawatakia Usiku mwema acha nikacheze na Shemeji/wifi yenu Sasa.