osama BLD
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 561
- 292
Mmiliki wa shell hiyo ya oil cocm kuna kitu ambacho kinakera wateja Kwa miaka mingi sana nadhan Kwa wakazi wa tabata mnalishuhudia. Ni hivi mmiliki wqtendaji wako wanakuangusha maana mteja umapoingia pale hamna mtu anajali kuelekeza nenda pump ile unaenda unashindwa usimame pump gani uamamua mwenyewe kujichagulia ukishasimama wala no body care ukiuliza vp waanakwambia nenda pump ile hiyo haina mafuta..
Au ukambiwa mafuta hamna..Ni kitu ambacho kimefanya wateja wengi kukimbia hiyo shell..
Mmiliki jaribu kufanya uchinguzi utaligindua hilo kuna jamaa wa kiarabu koko wanakuwepo na waswqhili weusi kuhudumia wateja mara unakuta wanangalia cm hata watu wa3, 4 kwenye cm moja
Mmliki litafakari otherwise you can employ other staffs to service the customers other wise soon thing are going to fall apart and you are at a pint of no return
My advice to u
Majina halali cleophus maumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Au ukambiwa mafuta hamna..Ni kitu ambacho kimefanya wateja wengi kukimbia hiyo shell..
Mmiliki jaribu kufanya uchinguzi utaligindua hilo kuna jamaa wa kiarabu koko wanakuwepo na waswqhili weusi kuhudumia wateja mara unakuta wanangalia cm hata watu wa3, 4 kwenye cm moja
Mmliki litafakari otherwise you can employ other staffs to service the customers other wise soon thing are going to fall apart and you are at a pint of no return
My advice to u
Majina halali cleophus maumba
Sent using Jamii Forums mobile app