Ushauri kwa Lowassa


Babu maumvi hafai kuwa Rais, kwani ana mapungufu mengi sana.Fisadi, afya mbovu, visasi, makundi, marafiki mafisadi. Mtu huyu kumpatia nchi ni kutosa nchi, kitu ambacho hakitatokea
 
Amesahau yaliyomkuta kikwete 1995, Bilali 2000, data hazitamsaidia kwa ufisadi wake
 
Lakini na wewe si umuache agombee ,,atumie haki yake ya kidemokrasia ,,hela katumia za kwake .Lakini kama hapendwi au CC haimtamki jina litakatwa atarudi Monduli akae kwake tu sio issue lakini angalau atakuwa kajaribu.Huo ushauri wako ndio unamfanya yeye aobekane ana nguvu ,,kwasababu mnalitaja sana Jina lake and ToM awareness yake mnaiongezaaa,, Muacheni ajaribu kama akipigwa za uso akajipumzikie zake.
 

Na kweli wakijosea tu wakamtema EL sio siri utakuwa mwisho wa ccm wananchi waliowengi watachagua ukawa maana EL ameibeba ccm na ccm haina uwezo tena wa kumbeba mtu yeyote. Mkimweka EL hata baadhi ya wapinzani watampigia kura yeye sio ccm. Ngoja zianze safari za kuzunguka nchi nzima kutafuta wadhamini ndipo mtakapofahamu kwamba anakubalika na wengi.
 
Babu maumvi hafai kuwa Rais, kwani ana mapungufu mengi sana.Fisadi, afya mbovu, visasi, makundi, marafiki mafisadi. Mtu huyu kumpatia nchi ni kutosa nchi, kitu ambacho hakitatokea

Hivi kuna mtanzania mwenye afya bora hapa nchini, anyoshe mkono.
 

Kwa ushauri huo nakuunga mkono ila huko ACT ujue haupo mtaji zaidi ya wafuasi atakaoingia nao. Pia ujue hicho chama kinasemekana ni tawi la ccm. Ccm nao sio wajinga hivyo. Watauagiza uongozi wa Act kumwekea masharti magumu yatakayomshinda kujiunga. Hata hivyo walishaanza. Mtendaji mkuu alishasikika akisema ili apokelewe kwenye chama chao lazima atangaze mali zote anazomiliki na upatikanaji wake. Wanaweza kumchezea kwa hilo tu hadi ikashindikana kujiunga.Ulilosahau ni kuwa umri wake nao umesogea sana. Hawezi kugombea tena baada ya miaka kumi hata Mungu angemweka hai. Ukawa ndio asahau kabisa na analijua hilo. Njia pekee aliyobakiza ni kusimama kama mgombea binafsi anaweza kubahatisha. Kama kuna chama chochote kingine kidogo chenye usajili wa kudumu hata kiwe na wanachama kumi tu hii ni fursa adimu kuongea na Edo kwani kitapata mtaji wa wanachama, wabunge, madiwani na fedha nyingi za ruzuku za uraisi, wabunge na madiwani na mungu akijalia kiingie ikulu.
 

Mkuu vipi kuhusu wajumbe wa kamati kuu, walikuwepo wangapi??

Mh! Hawa sindio 'WAKATA MAJINA' kabla ya kupigiwa kura? Sijui itakuwaje!!




 

Mnamwibia bure fedha Mzee wa watu Huyu hata mfanyeje hatapita Kamati kuu b'se wanajua kabisa wakimpitisha kamati kuu ana uwezo mkubwa wa kuhonga H/kuu na mkutano Mkuu believe me Lowasa hawezi kuwa Rais wa Tz nape Jana hawahitaji mtu wa kusafisha kwa Dodoki kwani muda hautoshi Mwambie Mzee kula ulichochuma Urais ngoma Nzito, anapoteza muda atakufa kwa pressure bure.
 

Hao si ndio aliwalipia nauli na posho?wasingepata posho na usafiri sidhani kama wangefika huko sheikhe amri abeid kaluta
 
Kwakweli bwana mjinga mm ckuungi mkono, kama kila mgombea angeshauriwa ajitoe je tunvekuwa na wagombea ccm,
na kupata ama kushindwa ni kawaida katika ushindan ndio maana inaitwa safari ya matumain
na siku zote ni bora kujari kuliko kukimbia.
Na pia Kwa sasa Mh anaonekana kuwa na kibali kwa watanzania kuliko wagombea wote je c watanzania tunaomuweka rais madarakan au ni hao viongoz wa ccm ndio wanaotuchagulia kiongoz?
 
Lowasa akipitishwa na ccm itakuwa ni mtaji mkubwa sana kwa upinzani, naaamini watanzania hawatafanya tena makosa kama waliyoyafanya miaka kumi iliyopita mtakumbuka Jk alikuwa anapendwa sana na wananchi lakini angalieni alipoipileka nchi kutokana na system iliyomweka madarakani hakuwa hata na guts ya kuwakemea sasa watu wale wale matajiri walio kwenye same network wanataka kumweka lowasa ni nini itakuwa hatma ya taifa la tanzania? Utapata wapi ujasiri wa kuwakaripia? Ukawa watapata advantage sana kama EL atasimamishwa kwa sababu watamwanika sana kwa tuhuma anazotuhumiwa nazo
 
Hata mimi naunga mkono kwa mtoa hoja..hela zako zinaliwa na wapambe na mwisho wa safari utabaki na ndoto yako ya "Safari ya matumaini"
 
Itakua si safari ya matumaini bali itaitwa safari ya matamanio
 

Lowasaa nilishakushauri na wapambe wako walinitukana na kunidharau…Narudia tena achana na uraisi ndani ya CCM…bakiza hizo hela ulizonazo amia ACT
 
Nakushauri kwa mwaka huu muachie tu Tingatinga manake hutomuweza kwa lolote si mentally wala physically.2025 Kama tutakuwa na uhai tutakuchaguwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…