Ushauri kwa huyu mwenzetu, muda wowote anaweza jiua

Yaaan kila siku hapa jf.. tunarudia yale yale... kuwa mchumba asomesh wi.
Ila kwa kuwa yamemkuta.. naomba kwa sasa atulie... aende kanisan akatubu amrudie muumba wake..
Ajitahid kuondoa mawazo ya huyo mwanamke kichwan kwake.. ndio ni ngumu lakin ajikaze. Ajenge maisha yake kwa sasa.
 
Mkuu hii mahafali ilikuwa ya tumaini universty tatizo la kuchukua majukum ya wazaz/walez kwa mwenzetu ndio matokeo yake jaman humu wakuuu kila leo wana tahadharisha ni bora kubwia sumu kuliko kusomesha wat is so cslled mchumba
 
Pole yake,Mungu amtie nguvu hizi mambo hazinaga formula wala mjanga......wanaume mnaumia kwa kutumia /kuwekeza materials na wanawake wanaumiaga kwa kutumika utu wao inreturn mnawaacha kwa kashfa kubwa pia ni mambo ya kawaida ye sio wa kwanza wala wa mwisho,ila MUDA NI TIBA ,TUNAPOUMIA TUNAPONA KWA WAKATI HUO HUO
 
Hakika mkuu uko sawa, nakuunga mkono.
 
YES MDA NI TIBA
 
Nikishasema kupenda kwa namna hii ni ujinga ukio piliza, binadamu mliyekutana wakubwa hauwezi mwamini kiasi hicho!!!!!
Na dunia hii watu innocent ndio wanao umia sana!!!
Pole sana kwake huyo jamaa, kapoteza pesa pamoja na mda so painful, lakini naweza kumwambia maisha bado yapo kuchwa sio mwisho wa dunia yeye sio wa kwanza kuachwa wala hatakuwa wa mwisho kuachwa
 
Hivi mbona tunapenda njia za mkato? Harama ya kusomesha mchumba hewa na harama ya mahari ipi kubwa??



Ndukiiiii
 
Watu wengine wanaroho ngumu sana!.
Mungu amtie moyo. Yeye ajiue wengine tunaendelea kula raha za dunia.
Yaani aache vyuku vyote hivi kwa ajili ya F*L* mmoja tu!
 
yaan toka secondary mpk chuo kikuuu!!! sasa si heri angejisomesha mwenyew...aisee kupitia hii akili za jamaa unaweza ukajua hata jamaa ni kada wa chama gan pia
Jamani!
Mapenzi nayo yana ukada?
 
Kha! hawakusikia mchumba hasomeshwi?

Yaani angeoa na mimba juu ndo angeendelea kumsomesha otherwise ni kutafuta maumivu tu
 
Ni kweli aisee!! Sijui kwanini tu watu huwa wanawachukulia wenzao for granted. Mtu anayejitolea kukufanyia jambo kubwa kiasi hicho ni wa kumpenda na kumheshimu sana.

Amuache aende tu, chozi lake Mungu atamlipia.


inaumiza sana, lakini sisi wanaume huwa hatukubali makosa yetu na kujirekebisha, unaweza kukuta huyu kila siku ana gubu kosa Dogo la mapenzi anasema unajua Mimi nakusomesha,sasa Dada kahitimu amechoka gubu,hii ni kote Iwe kwa gari,masomo,nyumba na nk,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…