hicho kiingereza kimekosewa, hakuna space baada ya coma, wamarekani wangeandika occupation badala ya neno JOB.
Matapeli ambao shule yao ni ndogo sana, wakikutia kingi hao utakua zaidi ya popoma, jiulize iweje meseji imetumwa na namba ya airtel ? Marekani kuna airtel ????