hapana kuhusu unene au wembamba. Je ni kigezo gani nitumie ili niweze kumpata bestman mzuri, mfano, je bestman wangu ni lazima awe rafiki yangu, tuwe tunaendana umri, au awe na tofauti kubwa kiumri kati yangu mwanandoa mpya na yeye au inakuwaje katika mila na desturi( kabila liwe sawa??) je kuna haja ya kuchukua mume na mke wa ndoa moja wawe walezi wa ndoa yetu, au mie best man wangu na mke wangu matroni wake anayempenda yeye?/maana kuna haja ya kumshirikisha mpenzi wangu kuhusu swala la bestman, na wat if akiwa hamtaki????