Mkuu, taja zao husika unalotaka kudeal nalo ili tuweze kukusaidia namna ya kukabiliana na changamoto zake. Maana ukisema kilimo cha zao litoalo mafuta yapo mengi sana kuanzia maboga,mti wa msalaka, miwese, mbono, mgude, mkorosho n.k
Soko la mazao ndiyo kikwazo kikubwa wanachokabiliana nacho wakulima, serikali inahimiza sana wananchi walime kwa bidii, mavuno yakiwa mengi serikali kama kawaida huwakimbia wakulima.
Wakuu, mm1, Ahsante na Kisima
Ahsanteni sana.
Ktk mazao ya nafaka nalenga Mahindi na Mtama ( nina uhakika wa soko la nje) pia mazao ya mafuta ni Alizeti na Karanga.
Changamoto kubwa ni mabadiliko ya hali ya hewa kama utakuwa unategemea mvua pekee,
ila ukiingia katika mfumo wa irrigation,
basing on dripping irrigation inamafaniki makubwa kwa wakulima,
usiogope kulihudumia shamba nalo litakuhudumia.
Wakuu, mm1, Ahsante na Kisima
Ahsanteni sana.
Ktk mazao ya nafaka nalenga Mahindi na Mtama ( nina uhakika wa soko la nje) pia mazao ya mafuta ni Alizeti na Karanga.
OK Mkuu! Inaonesha unataka kufanya kilimo ktk large scale.
Changamoto ya kwanza kabisa ni kupata eneo kubwa lililo sehemu moja. Uwe makini sana matapeli hata vijijini wapo, haijarishi ni kiongozi au m/kiti wa kijiji/kitongoji. Fuata taratibu husika, ushahidi wa maandishi na video ni mhimu.
Changamoto nyingine ni kupata nguvukazi itakayoendana na kasi yako. Kingine ni uhakika wa kuvuna i mean maji ya uhakika kwa mazao yanayohitaji maji mengi. Jingine ni uhakika wa soko na simamia mwenyewe kazi zako ili usijutie kujihusisha na kilimo.
Ila la kheri KILIMO KINALIPA!
Mkuu, taja zao husika unalotaka kudeal nalo ili tuweze kukusaidia namna ya kukabiliana na changamoto zake. Maana ukisema kilimo cha zao litoalo mafuta yapo mengi sana kuanzia maboga,mti wa msalaka, miwese, mbono, mgude, mkorosho n.k