Mim ni mwajiriwa wa halmashaur moja, baada ya kufanya kaz kwa muda wa mwaka 1 na miez 5 nilipata uhamisho kwa SECONDMENT kuhamia taasisi nyingine ya serikali inayojitegemea,
kipindi nahama toka mwajiri wa awali nilkuwa bado sijapata barua ya kuthibitishwa kazini lakini uhamisho wang huu wa secondment ulifata taratibu zote mpaka barua ya kuhama ilitoka menejiment ya utumish wa umma.
Baada ya uhamisho huo nilpata taarifa kuwa wengine nilioajiriwa nao awali wamepata barua za uthibitisho lakini mimi bado sijapata barua wala taarifa yoyote:
SWALI. Je? Barua ya kuthibitishwa kazin itatolewa na mwajiri wang wa awali au mwajiri mpya(seconment)? Je, endapo miez 12 ya seconment itakwisha, kuna uwezekano wa kupata barua ya kuhamishwa permanently kwenye taasisi hyo mpya hata kama sijapata barua ya kuthibitishwa kazin?
Naomba ushauri wenu wataalamu wa utawala na utumishi!!
kipindi nahama toka mwajiri wa awali nilkuwa bado sijapata barua ya kuthibitishwa kazini lakini uhamisho wang huu wa secondment ulifata taratibu zote mpaka barua ya kuhama ilitoka menejiment ya utumish wa umma.
Baada ya uhamisho huo nilpata taarifa kuwa wengine nilioajiriwa nao awali wamepata barua za uthibitisho lakini mimi bado sijapata barua wala taarifa yoyote:
SWALI. Je? Barua ya kuthibitishwa kazin itatolewa na mwajiri wang wa awali au mwajiri mpya(seconment)? Je, endapo miez 12 ya seconment itakwisha, kuna uwezekano wa kupata barua ya kuhamishwa permanently kwenye taasisi hyo mpya hata kama sijapata barua ya kuthibitishwa kazin?
Naomba ushauri wenu wataalamu wa utawala na utumishi!!