Ushauri: Je, Atasoma PCB?

πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Habari Jf,

Nina kijana wangu kahitimu elimu ya secondary mwaka 2020 kwa ufaulu ufuatao;

Physics-D
B/Mathematics-D
Civics-C
Chemistry-C
Geography-C
History-C
Biology-B
Kiswahili-B
English-B
Div- II:18

Je anaweza soma PCB
Sasa hapa anasoma PCB ili awe nani baadaye. Kwa hizo marks hawezi kuchaguliwa degree ya afya yeyote.
 
Kwenye counter book la notes unaandika"Road to MUHAS"...

Nilikuwa naogopa kuweka status ya namna hiyo kuhofia isije ikawa tofauti.

Ila mwisho wa siku nilikanyaga ardhi ya MUHAS, kilichobaki kikawa hitoria
 
Habari Jf,

Nina kijana wangu kahitimu elimu ya secondary mwaka 2020 kwa ufaulu ufuatao;

Physics-D
B/Mathematics-D
Civics-C
Chemistry-C
Geography-C
History-C
Biology-B
Kiswahili-B
English-B
Div- II:18

Je anaweza soma PCB
Mtafutie college dogo akasome diploma ya field anayotaka. PCB adv sio mchezo anapotezwa mda tu. Km udactari aende diploma then degree
 

Nilikuwa naogopa kuweka status ya namna hiyo kuhofia isije ikawa tofauti.

Ila mwisho wa siku nilikanyaga ardhi ya MUHAS, kilichobaki kikawa hitoria
Hahaha..wengi waliokuwa wanaandika hivyo walikuwa wanaishia kwenda kushika chaki..
 
Mtafutie college dogo akasome diploma ya field anayotaka. PCB adv sio mchezo anapotezwa mda tu. Km udactari aende diploma then degree
Dah! yeye kang'ang'ania advance
 

Nilikuwa naogopa kuweka status ya namna hiyo kuhofia isije ikawa tofauti.

Ila mwisho wa siku nilikanyaga ardhi ya MUHAS, kilichobaki kikawa hitoria
😷😷😷😷😷😷😷
 
Mpelekeni aanze diploma ya Clinical Medicine kwa gharama yeyote asiende advance kwani akienda advance kwa hizo marks atapoteza muda wake tu hata kama akipata div one ya 7.
πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™ πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…