Ushauri: Je, Atasoma PCB?

Shadow7

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
33,727
Reaction score
55,380
Habari Jf,

Nina kijana wangu kahitimu elimu ya secondary mwaka 2020 kwa ufaulu ufuatao;

Physics-D
B/Mathematics-D
Civics-C
Chemistry-C
Geography-C
History-C
Biology-B
Kiswahili-B
English-B
Div- II:18

Je anaweza soma PCB
 
Anasoma bila shida yoyote. PCB amepata DCB na inakubalika vizuri. Lakini Phy itamsumbua sana A level anaonekana haiwezi au haimudu.
 
Anasoma bila shida yoyote. PCB amepata DCB na inakubalika vizuri. Lakini Phy itamsumbua sana A level anaonekana haiwezi au haimudu.
Dah! sawa ngoja nimtafutie mwl mzuri wa physics
 
Dah! sawa ngoja nimtafutie mwl mzuri wa physics
Mwambie karibu sana kwenye ulimwengu wa Physics.

Akija kuelewa japo Escape velocity basi jinsi ya kujua namna Apollo alivyodumbukia kwenye outer space na kuangukia mwezini hata pata shida
 
Hahahaha monyampaa
Mwambie karibu sana kwenye ulimwengu wa Physics.

Akija kuelewa japo Escape velocity basi jinsi ya kujua namna Apollo alivyodumbukia kwenye outer space na kuangukia mwezini hata pata shida
 
Mwambie karibu sana kwenye ulimwengu wa Physics.

Akija kuelewa japo Escape velocity basi jinsi ya kujua namna Apollo alivyodumbukia kwenye outer space na kuangukia mwezini hata pata shida
Duh! mbona mnamtisha
 
PCB tamu sana unaanza kujiita kabisa Daktari!

Mimi nilikuwa nakataa kujiita hivyo baada ya kuutambua mziki wake.

🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣
 
Div II ya 18 na C ya Chemistry na D ya Physics? Sidhani. Wasije wakamrusha tu kwenye HGL/HGK
 
Habari Jf,

Nina kijana wangu kahitimu elimu ya secondary mwaka 2020 kwa ufaulu ufuatao;

Physics-D
B/Mathematics-D
Civics-C
Chemistry-C
Geography-C
History-C
Biology-B
Kiswahili-B
English-B
Div- II:18

Je anaweza soma PCB

Kusoma PCB sio tatizo,swali ni je ataweza kupata passmarks za kwenda degree?
 
PCB tamu sana unaanza kujiita kabisa Daktari!

Mimi nilikuwa nakataa kujiita hivyo baada ya kuutambua mziki wake.
Kwenye counter book la notes unaandika"Road to MUHAS"...
 
PCB shule za JPM sidhani, anaweza chaguliwa HK huko, maana ukisha kuwa na D msala huo.

Ila akipata hata HK huko anabadilisha tu combination anasoma PCB kikubwa nafasi apate ya skul.

Akifika skul lazima atoke na B ya physics huyo ni jembe hakuna wasi wasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…