Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,560
Week 3 zilizopita nikiwa Tz nikaenda kulala uswahilini msibani doh nilikoma, baada ya msiba kuisha watu wakaondoka tanga limevunjwa tukabakia ndugu wa mwisho mwisho kesho tusepe.
Usiku tumelala saa 8 nasikia makelele kushtuka nasikia watu wanaongea " inateleza bwana chomeka vizuri basi"
Doh msichana analalamika jamaa anapigapiga tu nanilii sijui ndio kakolea au?
Nawashauri ndugu zetu uswahili mnapopeana raha tumieni sauti ndogo majirani tumelala jamani.
Unajua sikulala kabisa nashangaa kumekucha.
Watu wengine sijui wakeje doh!
Sirudi tena uswahilini nimekoma!
Money Talk Nalendwa Shunie Ngosha Mashine Vladimirovich Putin Jiwedogo
Usiku tumelala saa 8 nasikia makelele kushtuka nasikia watu wanaongea " inateleza bwana chomeka vizuri basi"
Doh msichana analalamika jamaa anapigapiga tu nanilii sijui ndio kakolea au?
Nawashauri ndugu zetu uswahili mnapopeana raha tumieni sauti ndogo majirani tumelala jamani.
Unajua sikulala kabisa nashangaa kumekucha.
Watu wengine sijui wakeje doh!
Sirudi tena uswahilini nimekoma!
Money Talk Nalendwa Shunie Ngosha Mashine Vladimirovich Putin Jiwedogo