robertmbilinyi
New Member
- Feb 19, 2016
- 3
- 0
Mimi nimemaliza form four na nimepata C- 2 na D-4 na F- 1.
Akili yangu inanituma nikasome Advance CBG huku nikiwa natafuta C nyingine.
Na mimi nina imani nitakaza. Ila kuna watu wananiambia nikasome chuo naombeni ushauri wenu.
Akili yangu inanituma nikasome Advance CBG huku nikiwa natafuta C nyingine.
Na mimi nina imani nitakaza. Ila kuna watu wananiambia nikasome chuo naombeni ushauri wenu.