Ushauri: Amesema nikimuacha anakunywa sumu

Ushauri: Amesema nikimuacha anakunywa sumu

Nywanoko

Member
Joined
Mar 28, 2018
Posts
27
Reaction score
15
Mimi ni mgeni humu, leo nimeona nijiunge nipate ushauri wenu wanaJF,

Nimeamua kujiunga baada ya kuambiwa na rafiki yangu kuwa alipata ushauri mzuri sana na umemsaidia kwa namna moja au nyingine.

Ushauri wenu nauomba kwenye hii ishu iliyonikuta mwenzenu.Mimi kijana wa kiume ambaye nilimaliza chuo miaka michache iliyopita. Nimebahatika kuwa kwenye mahusiano na binti mmoja kwa muda sasa na malengo yetu ni kuoana.

Hapa juzi kati nilisafiri kidogo nikaondoka Dsm nikaelekea mkoani Mwanza kwajili shughuli za kutafuta ajila na ridhiki kwa ujumla. Siunajua tena hizi tamaa, nikakutana na mdada mmoja anasoma nursing diploma kwenye chuo kimoja kipo mwanza(sitakitaja jina) nilimtamani na nikamtaka urafiki akakubali baadae nikaanza kurusha kete nikimtaka kimahusiano.

Alinitolea mbali lakini ikanibidi nikabidi nikomae tu ikabidi nianze kumfunga kamba(lies) nikamwambia basi nikuoe. Baada ya siku kazaa akakubali.

Nimekula mzigo na nimekuja kunwambia kuwa mimi nina mtu ila nilikutamani na ukweli wote nilimpatia ili kumuweka wazi.

Lakini alilia na akasema mimi amenipenda tu hata nikiwa ninamtu anataka nimuoe yeye nikimuacha anasema atakunywa sumu. Hiyo kauli amekua akiitoa mara kwa kwa mara hata ninashindwa nifanyeje.

Nimemwambia vyote vyakutaka akate tamaa lakini dogo amekazana tu kuwa nikimpiga chini anajinyonga.

Jamani nisaidieni mwenzenu nifanye nini kuepusha hii laana inayoniijia.

Naombeni ushauri.
 
Mimi ni mgeni humu, leo nmeona nijiunge nipate shauri zenu wanaJF. Nimeamua kujiunga baada ya kuambiwa na rafiki yangu kuwa alipata ushauri mzuri sana na umemsaidia kwa namna moja au nyingine.
Ushauri wenu nauomba kwny hii ishu iliyonikuta mwenzenu.
Mimi kijana wa kiume ambaye nilimaliza chuo miaka michache iliyopita. Nimebahatika kuwa kwenye mahusiano na binti mmoja kwa muda sasa na malengo yetu ni kuoana. Hapa juzi kati nilisafiri kidg nikaondoka dsm nikaelekea mkoani Mwanza kwajili shughuli za kutafuta ajila na ridhiki kwa ujumla. Siunajua tena hizi tamaa, nikakutana na mdada mmoja anasoma nursing diploma kwny chuo kimoja kipo mwanza(sitakitaja jina) nilimtamani na nikamtaka urafiki akakubali baadae nikaanza kurusha kete nikimtaka kimahusiano. Alinitolea mbali lakini ikanibidi nikabidi nikomae tu ikabidi nianze kumfunga kamba(lies) nikamwambia bas nikuoe. Baada ya siku kazaa akakubali. Nimekula mzigo na nmekuja kunwambia kuwa mm nina mtu ila nilikutamani na ukweli wote nilimpatia ili kumuweka wazi. Lakini alilia na akasema mimi amenipenda tu hata nikiwa ninamtu anataka nimuoe yeye nikimuacha anasema atakunywa sumu. Hyo kauli amekua akiitoa mara kwa kwa mara hata ninashindwa nifanyeje. Nimemwambia vyote vyakutaka akate tamaa lakini dogo amekazana tu ..kuwa nikimpiga chini anajinyonga. Jamani nisaidieni mwenzenu nifanye nini kuepusha hii laana inayoniijia.
Naombeni ushauri..
Nywanokoo
 
Mimi ni mgeni humu, leo nmeona nijiunge nipate shauri zenu wanaJF. Nimeamua kujiunga baada ya kuambiwa na rafiki yangu kuwa alipata ushauri mzuri sana na umemsaidia kwa namna moja au nyingine.
Ushauri wenu nauomba kwny hii ishu iliyonikuta mwenzenu.
Mimi kijana wa kiume ambaye nilimaliza chuo miaka michache iliyopita. Nimebahatika kuwa kwenye mahusiano na binti mmoja kwa muda sasa na malengo yetu ni kuoana. Hapa juzi kati nilisafiri kidg nikaondoka dsm nikaelekea mkoani Mwanza kwajili shughuli za kutafuta ajila na ridhiki kwa ujumla. Siunajua tena hizi tamaa, nikakutana na mdada mmoja anasoma nursing diploma kwny chuo kimoja kipo mwanza(sitakitaja jina) nilimtamani na nikamtaka urafiki akakubali baadae nikaanza kurusha kete nikimtaka kimahusiano. Alinitolea mbali lakini ikanibidi nikabidi nikomae tu ikabidi nianze kumfunga kamba(lies) nikamwambia bas nikuoe. Baada ya siku kazaa akakubali. Nimekula mzigo na nmekuja kunwambia kuwa mm nina mtu ila nilikutamani na ukweli wote nilimpatia ili kumuweka wazi. Lakini alilia na akasema mimi amenipenda tu hata nikiwa ninamtu anataka nimuoe yeye nikimuacha anasema atakunywa sumu. Hyo kauli amekua akiitoa mara kwa kwa mara hata ninashindwa nifanyeje. Nimemwambia vyote vyakutaka akate tamaa lakini dogo amekazana tu ..kuwa nikimpiga chini anajinyonga. Jamani nisaidieni mwenzenu nifanye nini kuepusha hii laana inayoniijia.
Naombeni ushauri..
Vipi Elimu ya Mwanamke uliemwacha Dar. Tuanze na hilooooo
 
Hivo mnavo watenda hao masista vibaya kwa kuwa tu hamna mipango nao mnatuharibia wenzenu tunao kutana nao baadaye. Ndio unakuta mtu hisia zilisha kata mnaenda naye basi tuu.
Sasa kwa kuwa ulitamka mwenyewe kwamba uta muoa fanya hivi fastaa
 
Kuoa tena wakati sina hata mahali wala uwezo wa kumtunza huyo mwanamke.!!
 
Angalia yupi ana mapenzi ya dhati na Kwelii.... Alafu huyo mwingine weka Parking kwa ajili ya Matumizi.
Mmh Ahsante kwa ushauri. Ila sina kabisa hisia naye tena huyu wa mwanza. Yaani nimejitahid sana.. yaani yeye anajileta ghetto kila mara ila mimi napiga chenga cuz hisia naye tena hamna
 
Hivo mnavo watenda hao masista vibaya kwa kuwa tu hamna mipango nao mnatuharibia wenzenu tunao kutana nao baadaye. Ndio unakuta mtu hisia zilisha kata mnaenda naye basi tuu.
Sasa kwa kuwa ulitamka mwenyewe kwamba ita muoa fanya hivi fastaa
Mi sioi mzee . Yeye angoje mwingine tu
 
Hamna kaka ulisema mwenyewe wacha kauli yako itimie
Mmmh , ngoma nzito hapo kaka. Ule ulikuwa niuongo tu sasa namuoaje wakati mimi mwnyw maisha yangu menuewe hayajasomeka. Ahsante kwa ushauri ila sitautumia huo ushauri aisee
 
Back
Top Bottom