Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,374
- 219,749
Aibu sana , haiwezekani viongozi wote wa vyama tofauti eti wavae nguo mpya kwa pamoja
Achaneni na hawa wapumbavuView attachment 2874633
Baada ya Chama Kikuu kabisa cha siasa nchini Tanzania, CHADEMA, kutangaza tarehe ya Maandamano, huku Wananchi kwa Mamilioni wakionyesha kuunga Mkono na kutangaza kushiriki, Kumeibuka kikundi cha Wachumia Tumbo wanaojiita viongozi wa vyama vya siasa waliotangaza kupinga mpango huo kabambe wa kidemokeasia.
Zipo tetesi kwamba Mamluki hao wamehongwa, huku taarifa zingine zikisema kwamba baadhi yao walionekana jana kwenye maduka ya nguo wakinunuliwa Suti kwa ajili ya Mkutano wao na waandishi wa Habari ulioandaliwa na "Watu wa serikali"
Timu yetu ya uchunguzi itaanika ukweli wote hapa hapa, namna Mamluki hao walivyohongwa hela ndogo ili kuja kupotosha .
Usiondoke JF
Lengo ni kuwaanika hadharaniAchaneni na hawa wapumbavu
Aibu sana , haiwezekani viongozi wote wa vyama tofauti eti wavae nguo mpya kwa pamoja
Kuna mtu hawajui?Lengo ni kuwaanika hadharani
šššš Doyo awe mpinzani kweli !..kuna wanaosema upinzani wa kweli utatoka Ccm.
..sasa unaotokana na Ccm ndio huu.
..Je, una tija?
šššš Doyo awe mpinzani kweli !
@Erythrocyte Kwa nini umekimbilia kuandika tetesi badala ya kusubiri taarifa iliyokamilika?View attachment 2874633
Baada ya Chama Kikuu kabisa cha siasa nchini Tanzania, CHADEMA, kutangaza tarehe ya Maandamano, huku Wananchi kwa Mamilioni wakionyesha kuunga Mkono na kutangaza kushiriki, Kumeibuka kikundi cha Wachumia Tumbo wanaojiita viongozi wa vyama vya siasa waliotangaza kupinga mpango huo kabambe wa kidemokeasia.
Zipo tetesi kwamba Mamluki hao wamehongwa, huku taarifa zingine zikisema kwamba baadhi yao walionekana jana kwenye maduka ya nguo wakinunuliwa Suti kwa ajili ya Mkutano wao na waandishi wa Habari ulioandaliwa na "Watu wa serikali"
Timu yetu ya uchunguzi itaanika ukweli wote hapa hapa, namna Mamluki hao walivyohongwa hela ndogo ili kuja kupotosha .
Usiondoke JF
Kuna unaotoka na unaotokana (tengenezwa) huu wa hawa wanunuliwa suti ni unaotokana na CCM, ni upinzani maigizo tu...kuna wanaosema upinzani wa kweli utatoka Ccm.
..sasa unaotokana na Ccm ndio huu.
..Je, una tija?
Lakini jamaa wote kweli wana suti mpya, au zote walizitoa sandukuni?@Erythrocyte Kwa nini umekimbilia kuandika tetesi badala ya kusubiri taarifa iliyokamilika?
Kama hukuweza kuuanika ukweli unaodai kuwa nao leo,huo mwingine utaupata wapi?
Hao mamilioni ya watanzania waliokuahidini kuwaunga mkono ebu tuwekee mfano wake hapa?
Tatizo Chadema mlidekezwa na Samia na mkavimba bichwa mkiwadharau wanasiasa wengine.
Juzi hapa mliwafanyia Uhuni "Sauti ya Watanzania"mkawaahidi kuwapa ushirikiano na zilipokaribia siku ya kuwaruhusu kufanya maandalizi ya mkutano Dsm kupitia platform yenu mkawahujumu kwa kuwazimia simu.
Mnyika huyo huyo na Mbowe wake.
What goes around also comes around!
Na sasa ni zamu yenu.
Waambie Mbowe, Lema na Lissu walete pia familia zao toka Ughaibuni kuja kushiriki maandamano ya 24/01/24.
Sio wajifanye kuhanikiza huku wakiwa na Passport zao mifukoni.
Tunawajua mabingwa wa kutimkia Dubai,Canada na Ubelgiji.
Lissu juzi kati alitimks toka karatu mpaka Ubelgiji.
Bisha kama nasema uongo?
eti nguo mpyaAibu sana , haiwezekani viongozi wote wa vyama tofauti eti wavae nguo mpya kwa pamoja
Mpaka nguo za mkutanošView attachment 2874633
Baada ya Chama Kikuu kabisa cha siasa nchini Tanzania, CHADEMA, kutangaza tarehe ya Maandamano, huku Wananchi kwa Mamilioni wakionyesha kuunga Mkono na kutangaza kushiriki, Kumeibuka kikundi cha Wachumia Tumbo wanaojiita viongozi wa vyama vya siasa waliotangaza kupinga mpango huo kabambe wa kidemokeasia.
Zipo tetesi kwamba Mamluki hao wamehongwa, huku taarifa zingine zikisema kwamba baadhi yao walionekana jana kwenye maduka ya nguo wakinunuliwa Suti kwa ajili ya Mkutano wao na waandishi wa Habari ulioandaliwa na "Watu wa serikali"
Timu yetu ya uchunguzi itaanika ukweli wote hapa hapa, namna Mamluki hao walivyohongwa hela ndogo ili kuja kupotosha .
Usiondoke JF
Huyo kwenye picha ni kweli alikuwa amevaa nguo na viatu vipya kabisaa. Nilimuona baada ya kikao akiongea na simu. Dah njaa mbayaAibu sana , haiwezekani viongozi wote wa vyama tofauti eti wavae nguo mpya kwa pamoja
Kuna unaotoka na unaotokana (tengenezwa) huu wa hawa wanunuliwa suti ni unaotokana na CCM, ni upinzani maigizo tu.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Siasa ni maisha ya watu wala si kwa viongozi tu na familia , ikiwa ni jambo la kawaida kwanini viongozi wanunuliwe suti mpya ?@Erythrocyte Kwa nini umekimbilia kuandika tetesi badala ya kusubiri taarifa iliyokamilika?
Kama hukuweza kuuanika ukweli unaodai kuwa nao leo,huo mwingine utaupata wapi?
Hao mamilioni ya watanzania waliokuahidini kuwaunga mkono ebu tuwekee mfano wake hapa?
Tatizo Chadema mlidekezwa na Samia na mkavimba bichwa mkiwadharau wanasiasa wengine.
Juzi hapa mliwafanyia Uhuni "Sauti ya Watanzania"mkawaahidi kuwapa ushirikiano na zilipokaribia siku ya kuwaruhusu kufanya maandalizi ya mkutano Dsm kupitia platform yenu mkawahujumu kwa kuwazimia simu.
Mnyika huyo huyo na Mbowe wake.
What goes around also comes around!
Na sasa ni zamu yenu.
Waambie Mbowe, Lema na Lissu walete pia familia zao toka Ughaibuni kuja kushiriki maandamano ya 24/01/24.
Sio wajifanye kuhanikiza huku wakiwa na Passport zao mifukoni.
Tunawajua mabingwa wa kutimkia Dubai,Canada na Ubelgiji.
Lissu juzi kati alitimks toka karatu mpaka Ubelgiji.
Bisha kama nasema uongo?
Mwambie Mbowe arufishe ile milioni 150 ya Samia aliyopewa juzi kanisani. Acheni kututapeli watanzania!
Kuna ukweli fulani hapo ila mimi pia Chadema siwaamini nawaoma ni walewale na mfumo uleule.Lakini jamaa wote kweli wana suti mpya, au zote walizitoa sandukuni?
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Tungemuelewa mleta hoja kama angeweka evidence mezani mifano kama picha au screen shot ya WhattsApp ikitoa maelekezo.Siasa ni maisha ya watu wala si kwa viongozi tu na familia , ikiwa ni jambo la kawaida kwanini viongozi wanunuliwe suti mpya ?
Mkuu hatujawahi kuwasingizia uongo hawa mamluki , kingine ni kwamba wote uliowaona hapo wamepigiwa tu simu ya shopping na kuambiwa kuna press conference , wao wenyewe hata hawajuaniHuyo kwenye picha ni kweli alikuwa amevaa nguo na viatu vipya kabisaa. Nilimuona baada ya kikao akiongea na simu. Dah njaa mbaya