Kufa in kufa tu. Ufe kwa uwoga, ufe kizembe ama ufe kivyovyote utakuwa umekufa tu.
Upinzani unakufa. Ndiyo! Unakufa kwa sababu vyama vya upinzani vinapoteza wanachama.
Watu ni waoga. Wanaogopa hata kujitambulisha kuwa wako upinzani na ktk kugombea nafasi mbalimbali mfano chaguzi za marudio za udiwani zinazoendelea.
Wameingiwa uwoga kwasabab ya matukio ya kutisha yanayofanywa na wasiojulikana nchi nzima yaliyopelekea wapinzani kupoteza maisha, kujeruhiwa na kupotea.
Hiki ndiyo kifo chenyewe cha upinzani. Mitaani huku ukitaka ugombane na MTU muite kamanda....
Na kinachowatisha zaidi wanasema kama viongozi wakuu tu wa chadema wanasota na kesi, vipi wao:walala hoi?
Wapinzani sasa wanajificha kabisa huku mtaani. Hali ni tete!
[HASHTAG]#Mtanikumbuka[/HASHTAG].
Upinzani unakufa. Ndiyo! Unakufa kwa sababu vyama vya upinzani vinapoteza wanachama.
Watu ni waoga. Wanaogopa hata kujitambulisha kuwa wako upinzani na ktk kugombea nafasi mbalimbali mfano chaguzi za marudio za udiwani zinazoendelea.
Wameingiwa uwoga kwasabab ya matukio ya kutisha yanayofanywa na wasiojulikana nchi nzima yaliyopelekea wapinzani kupoteza maisha, kujeruhiwa na kupotea.
Hiki ndiyo kifo chenyewe cha upinzani. Mitaani huku ukitaka ugombane na MTU muite kamanda....
Na kinachowatisha zaidi wanasema kama viongozi wakuu tu wa chadema wanasota na kesi, vipi wao:walala hoi?
Wapinzani sasa wanajificha kabisa huku mtaani. Hali ni tete!
[HASHTAG]#Mtanikumbuka[/HASHTAG].