Used Router

zimaroho

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2014
Posts
243
Reaction score
87
Jipatie kwa bei Chee 70,000
Mobile wifi router
Inachapakazi mitandao yote
Ni nzima aijawai kuwa na tatizo

 
Ila ni ya Vodacom?
Sasa kwa kuwa umeichakachua,ninaiblock nimeshaona details zake zote.
Badala ya kusema ya Voda,wewe unaleta ujanja wako wa kijijini Koromije!!
 
Ila ni ya Vodacom?
Sasa kwa kuwa umeichakachua,ninaiblock nimeshaona details zake zote.
Badala ya kusema ya Voda,wewe unaleta ujanja wako wa kijijini Koromije!!

Unajiona mjanja kumbe bonge la jinga,
Hizi huwa hazichakachuliwi ila zina setting unaset mtandao unaoutaka, acha kukariri kama kasuku.
 
Ngoja niblock ndio utajua mm na wewe nani fala.
Kibamia wee!!
 
Sasa hii ni biashara au ni uwanja wa mapambano?
Punguzeni mihemuko vijana tuchape kazi.
Mimi nilitaka ufafanuzi zaidi juu ya matumizi ya hicho kifaa, lakini nilipoona 'nzagamba mamba' zinatifuliana vumbi, imebidi nirudi nyuma.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…