Usawa uko wapi...?????

D2K

Member
Joined
Nov 21, 2010
Posts
11
Reaction score
1
Jana 2 tulishuhudia Mwananchi wa kawaida aliyekuwa akidaiwa kodi ya pango na NHC akitolewa nje na nyumba kuvunjwa,leo 2naona wizara ikiwa inadaiwa 391mil. na shirika hilo wakitolewa nje vi2 vyao 2 tena pasipo usumbufu, usawa uko wp katka hili, kwann hawa nao wasivunjiwe..???

Nani alaumiwe katika hili....?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…