Ndugu,
Najaribu kufikiri kwa sauti jinsi muswada utakapokuwa unajadiliwa tena bungeni, nahisi kama vile hapatakuwa na vijembe vya 'Acha waondoke......, wamezoea...., sisi tutapitisha......, hamna lolote.......' Nahisi pia hapatakuwa na vicheko vile na kugonga meza kwa mtindo wa kuzomea.
Pamoja na hayo sifikirii upande wa pili kuwa na vijembe vya 'kuondoka kwetu ni tija kwa watanzania......., Sisi ni makini...., Mbona muswada umerudi n.k, n.k