jibu zuri sana hili...nashangaa sana mtu anaomba kazi kimya.yakimfika anakimbilia huku kuuliza .....Walivyotangaza mbona hukushare hizo post
bora umetusaidia kumjibu... wengine hawapati kazi kwaajili ya roho mbaya, kazi zinatangazwa wanaomba kmya kmya..... wakiona hawajaitwa ndio wanakuja jamvini kuuliza....😏Walivyotangaza mbona hukushare hizo post
wadau vipi, hawa jamaa walitangaza ajira za credit officers na maasistant wao je washaita kwenye usaili hebu tujuzane japo kwa uchache
zilifanyika kwa utaratibu upi