Usaili wa wanataaluma Polisi Tanzania

Usaili wa wanataaluma Polisi Tanzania

Eduin

Senior Member
Joined
May 15, 2014
Posts
189
Reaction score
136
za asubuhi.

Napenda kuuliza kama awa wajeda washaita watu kwa usaili kwa zile nafas za wanataaluma walizotoaga?
 
FOREVER LIVING
COMPANY
Je!! Kuna mtu unamfahamu
1. Anatafutampango kazi utakaomwezesha kustaafu miaka 5-10 akiwa na kipato maradufu?
2. Anatafuta njia ya kuongeza kipato cha ziada?
3. Ni mama na ungependa kukaa nyumbani na kulea watoto huku ukitengeneza kipato kizuri?
4. Ni mwanachuo unayetafuta njia mbadala ya kutafuta kipato kizuri?
Tuwasiliane; 0768 577 654
email; izackmanase@gmail
.com
fb : www.facebook.com//
Izack Manase
SAMBAZA UJUMBE HUU KWA WALENGWA UNAOWAFAHAMU. UWAOKOE NA UMASKINI ILI WATIMIZE NDOTO ZAO.

We lazima umelogwa kama unataka kutangaza businez yako anzisha thread yako sio unadandia tu za watu ebooo
 
Alafu weka thread yako vizuri tujue unachotaka kujua
 
Interview ni mwezi wa kumi na moja kwa kawaida jeshi la polisi
 
wengine humu hawajali shida za watu wanachojali ni kuwa net wapoteze muda hatuwezi kuendelea kiukweli! kwa mleta posti hiyo ishu bado japokuwa haileweki lini lakini kuwa attention kama unaweza ni pm namba yako coz mi nafuatilia huo mchakato na nina mtu wangu tunawasiliana kwa ukaribu ,,mungu akipenda tutakutana moshi. gud lucky,,,
 
Back
Top Bottom