mm niliambiwaga..ni fanye presentation... Power point,then niandike story yeyete yenye social dylema ....after ata sikuitwa japo nina 4.4...sijui kwa sababu nimesoma udom??
Mi hata sijakielewa hiki chuo, wanafunzi tayari wameshaanza kusoma waajiriwa wapya hawajaitwa na haijulikani ni lini wanaita, au kuna mtu ana taarifa mpya?