Mm niliambiwaga..ni fanye presentation... power point,then niandike story yeyete yenye social dylema ....after ata sikuitwa japo nina 4.4...sijui kwa sababu nimesoma udom??
Nimefanya leo interview yao. Uliyosema ndo nilio kutana nayo. Ilikua interview very interesting, nimepigwa maswali meng sana na panel ya watu takribani 10. Nashukuru mungu nimeweza mudu interview kwa kujibu yalio ulizwa.
Mm niliambiwaga..ni fanye presentation... power point,then niandike story yeyete yenye social dylema ....after ata sikuitwa japo nina 4.4...sijui kwa sababu nimesoma udom??