Usaili utumishi, auditors

Usaili utumishi, auditors

KUNDAN

Member
Joined
Nov 30, 2012
Posts
34
Reaction score
9
Hivi kweli maswali ya paper ya written yanatosha kua ni kigezo cha kuchuja waombaji .
Ma auditor wanaofanya statutory audits and other engagement,wanapewa maswali ya economics na statistics.wangesema basi kwenye tangazo tunataka watu wa economics.

Tunajua wanahitaji watu wa economics ,civil ,arht na fani zingine na ndio maana walitoa tangazo jingine .

Vipi jumamosi tarehe 11/10/2014 katika interview auditors wameshindwa kutofautisha maswali ?
Na kama walichanganya na wale za post zingine mbona maswali ya civil hatukuyaona.

Cha ajabu katika maswali ya mtihani ule utaona watu wamepata 99% ,88% distinctions ha ha haaaaaaa.

Hao waliopata marks hizo chuoni walikua na pass katika degree zao.

Wakati katika interview ile kuna watu wa cpa,first class,upper second.hawa utasikia hawakufaulu mtihani.

Napatwa na wasiwasi ninapo ona tangazo katika page za utumishi likisema ,''inaibidi watahiniwa wajiandae wakienda katika usaili''

sasa wajiandae nini? Wakati maswali yanatoka nje ya post waliyosomea.
Cha ajabu masaa machache kabla ya usaili wa written unakutana na mtu anasolve maswali ,ambayo ukiingia ndani ni yale yale.

Kwa maswali yale ya dakika 50.maswali matano .mtu anaesailiwa anafanya kazi compliancely / guided by laws and regulation sidhani kama ni stahiki.

ushauri
utumishi kitengo cha kutunga maswali ya usaili -written bado sana ,ni shiiiiiidah inabidi mujipange
tafuteni msaada katika utungaji.

pongezi
kiukweli kusimamia zoezi la usaili mpo vizuri .

wasiwasi

inakuaje maswali yanapatikana kabla ya mtihani?
changamoto
nao ikiwa ni sehemu ya kitengo cha serikali kinachopewa huduma na utumishi katika mchakato mzima wa usaili,ije na ripoti ya mchakato wa recruitment unaofanywa na tume ya utumishi.
 
Hapo inamaana swali moja ufanye ndani ya dakika 10 sizani kama inawezekana ,na bado hujapata mda wa kulisoma swali na kulielewa.

Kinachoshangaza zaidi kwanini idadi ya maswali isiwe moja ,Yani waweke usawa ktk post zote, auditors maswali 5 , hr maswali 2 kwanini iwe ivo uoni kama utakua umeweka max nyingi katika swali moja na huku hakutasaidia katika kumpima mtu uelewa wake.

Wajipange kwakweli wahakikishe mda wanaweka kulingana na maswali yalivyo.
 
tumewachoka nanyie notorious job seekers yaani kila siku kulalama ......................tu
hata kama ni strees za kukosa kazi hapo mmezidishaaa,kama mtihani umekushinda wewe kuna wenzako wameweza watafaulu subiri zamu yako ikifika na uendelee kuomba Mungu
hebu angalia upande wa pili wa shilingi kama ungekuwa umefanya mtihani kwa usahii kabisa haya maneno mabaya usingeyaandika???
pole sana ila jirekebisha acha kulalama mkuu
 
watanzania kwa kulalamika too much bwana. sasa watachujaje jamani aagh?

haya wafuateni ofisi zao posta kule. ngoja niwakumbushe anuani;

Maktaba Complex, Second Floor,
Bibi Titi Mohamed Road,
Dar es Salaam
P.O Box: 63100

Tel: +255(22) 2153517
Fax: +255(22) 2153518

Email:katibu@ajira.go.tz

Complaints/Malalamiko:
malalamiko@ajira.go.tz

website yao PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS

tukiandika emails zaidi ya watu 10 watatilia maanani ili swala. sio kulalamika tu hapa usikute huyo X.Daudi ata ili jukwaa halijui.

uzi mwengine huu https://www.jamiiforums.com/nafasi-...saili-secretarieti-ya-ajira.html#post10859970

na huu tena: https://www.jamiiforums.com/nafasi-...wa-mtu-kwa-maswali-mawili-6.html#post10859976

wote kitu kimoja but no actions.
 
Kwa kweli hawajatutendea haki.....kwenye tangazo la kazi walitaja kozi kibao.....hata kwenye interview wameita kozi mchanganyiko kwa nini wasitoeaswali ambayo ni general tu ambayo mtu yeyote anaweza kujibu? Kama walikuwa hawatutaki sie wengine kwa nini wasingetaja kozi wanazotaka wao au kwenye interview wawaite hao tu...
 
Umekosea sana, Kupata first class au Upper haina maana kuwa wewe ni bright sana kuliko aliyepata pass au lower second, kwa mfano, mimi hapa kazini kuna mdada kasoma IT chuo Fulani Dar, na alipata First class Honor, but katika interview tulimuuliza maswali mbali mbali kwa mfano, What is RAM and what is the functions of it? jamani ni majanga....

Tukamuuliza tena, what is the diference between software and hardware? hapa akatutajia Hardware!!!!(aka-mention)????

Tukasema labda aliyasoma zamani tumuulize vitu current, what is PC? akajibu private computer!!!

Baadae tukampiga chini but amri ikaja kuwa tumchukue yeye na mmoja aliyekuwa na Lower second ambaye alikuwa very bright, huyu lower ndye anayemfundisha kazi.
 
tumewachoka nanyie notorious job seekers yaani kila siku kulalama ......................tu
hata kama ni strees za kukosa kazi hapo mmezidishaaa,kama mtihani umekushinda wewe kuna wenzako wameweza watafaulu subiri zamu yako ikifika na uendelee kuomba Mungu
hebu angalia upande wa pili wa shilingi kama ungekuwa umefanya mtihani kwa usahii kabisa haya maneno mabaya usingeyaandika???
pole sana ila jirekebisha acha kulalama mkuu

Hongera mkuu tunashukuru kwa kutuchoka
 
Wala msijali na poleni kwa hilo but hawa jamaa wana kazi nyingi sana next time unaweza ukajikuta umewakamata, ndio maana huwa wana-encourage applicants to re-apply. Kuna watu wamefanya zaidi ya interview tatu hapo ndio wakapata kazi. Cha msingi ni kusoma vitu vingi unapokuwa uko idle ili kujikumbusha. Ipo siku tu njia itafunguka, na hilo hilo pepa mnalosema gumu unaweza kukuta umepata marks za kurudhisha tu. Mtihani mgumu ndio mzuri kufaulu c mnaijua hii scenario? Anyway poleni sana wadau n keep up the struggle, one day mambo yatakuwa poa tu.
 
Umekosea sana, Kupata first class au Upper haina maana kuwa wewe ni bright sana kuliko aliyepata pass au lower second, kwa mfano, mimi hapa kazini kuna mdada kasoma IT chuo Fulani Dar, na alipata First class Honor, but katika interview tulimuuliza maswali mbali mbali kwa mfano, What is RAM and what is the functions of it? jamani ni majanga....

Tukamuuliza tena, what is the diference between software and hardware? hapa akatutajia Hardware!!!!(aka-mention)????

Tukasema labda aliyasoma zamani tumuulize vitu current, what is PC? akajibu private computer!!!

Baadae tukampiga chini but amri ikaja kuwa tumchukue yeye na mmoja aliyekuwa na Lower second ambaye alikuwa very bright, huyu lower ndye anayemfundisha kazi.
Taja hicho chuo na sisi twende tukapate first class ki ulaini tafadhali
 
Back
Top Bottom