Jamani naombeni kujuzwa kama Udsm wameshaita watu kwenye usaili wa nafasi za kazi za kitaaluma na kada nyinginezo zilizotangazwa july mwaka huu.mimi niliomba lakini mpaka sasa sijawahi kuona hilo tangazo la usaili kwenye website yao au watu wameitwa kimyakimya?.Mwenye taarifa tafadhali...