tuambiane pole ndugu yangu UDOM , kumbe wale wafanyakazi wa utawala tayari walisha waweka ndugu zao kwa ajili ya oral interview post ya assistant accountant na internal auditor.mimi na wewe tumepoteza nauli tu.kuwa na matumaini pia ikiwa wewe ni mpale au muhaya.
wadau udom wameita watu kusailiwa ni wa skuli of humanities angalieni kwenye web yao.
naombeni mnijulishe kama political science ni part of skuli of humanities wakuu
Walioitwa ni TAs na assistant lecturers, Political science ni social science mdau
asante mkuu, nilikua sielewi hicho kitu si unajua arrangement za schools and colleges zinatofautiana toka chuo kimoja hadi kingine